Friday, June 13, 2014

WEMA SEPETU HII INAMUHUSU, ANATAKIWA APIGE CHABO YA FASHION WAKATI BET AWARDS INAKARIBIA









HIZI PICHA ZA HAPA CHINI NI JUST INCASE DIAMOND KAMA KESHAFANYA MAMBO(maana Diamond sasa hivi hataki utani kabisa)  BASI BEAUTFULL ONYINYE ATUPIE NAMNA HIYO.


Hizo picha hapo juu ni za mwanadada mrembo na ni muigizaji wa Marekani, baadhi ya picha na yeye yuko kwenye red carpet ya BET, basi kwa kua miss Tanzania wetu na yeye anaelekea huko basi si vibaya tukamuonyesha onyesha vifashion kidogo au kama hajaona wanaweza watu kumwambia.

WEMA SAFARI HII UKIVAA NGUO NYEUSI TUNAANDAMANA.(unapendeza lakini we nid kala zis taim)



No comments: