Friday, June 13, 2014

ROSE NDAUKA, SLIM OMARY, BATULI NA RICHIE






Star power: William Hague, in Chelsea boots, with wife Ffion and Angelina Jolie and Brad Pitt yesterday


Nimezipenda tu hizo picha, ya juu ni waigizaji wa Bongo Movies, ambapo yupo Rose Ndauka, handsome Slim, Richie na Batuli, na hii ya chini kama mnavyowaona Angelina, Brad Pit na wengine hao.  Inapendeza waigizaji wanaofanya vizuri wanapokaa pamoja huku wakiwa wamevaa kiheshima na wamependeza pia

No comments: