Monday, June 23, 2014

NANI ALISEMA WATANZANIA WAKIENDA KUPIGA SHOW ULAYA WANAPIGIA SEBULENI? EMBU CHEKI HII YA DIAMOND.

Bwana acha Diamond aitwe DANGOTE, unaambiwa juzi alipiga show huko BELGIUM nyomi iliyokuwepo huko hata ile ya DAR LIVE INATANIA, unaambiwa palikua hakuna pakuhemea wala pakukanyaga maana ukinyanyua mguu ukauweka pengine tu umeshamkanyaga mwenzako kwa hiyo pale ulipokanyaga ndo hapo hapo. embu jionee mwenyewe picha hapo chini sitaki nitoe sana povu la mdomo wakati wino upo.
                                   DIAMOND PLATINUMZ HUKO BELGIUM
             EMBU CHEKI MWENYEWE, UKUMBI ULIKUWA MDOGO YANI UWANJA WA MPIRA NDO UNGEFAA.
madeeem nao hawakua nyuma ila show ilivyoisha kila mtu kivyake manake huko hotelini Wema lazima amskypishe chibu na amwambie embu zungusha laptop nione chumbani kwa hyo hapo ni no mchepuko Chibu anaona kisa cha kuvunja uchumba wangu na Onyinye ni bora nibaki njia kuu.
bwana dogo Chibu hii style za kuzimia nayo mpya ukiicheza bongo ukiamka tu cheni hakuna shingoni


Ni hayo tu wapenzi, kwa hyo wale wanaosemaga ohhh watanzania wanafanyaga show sebuleni wakienda ulaya embu wamfwate Chibu ndo watajua anafanyia sebuleni au kwenye gari . mh nimesahau, Diamond baada ya kile kiskirt naona leo ni kikaptula juu ya suruali, utaniaribia wadogo Diamond maana kesho nao wanaenda kushona.   OKAY BYEEEEEEE

No comments: