Tuesday, October 21, 2014

KUTOKA KWA MANGE KIMAMBI, HICHI NDIO KILICHOONGELEWA KUHUSU SHEM DARLING DIAMOND PLATNUMZ KUZOMEWA KWENYE FIESTA JUZI.


 
 
DUH NI B ALAAAAAAA,
Unaambiwa Diamond alizomewa Fiesta hadi ikabidi akatishe show ashuke stejini….
The only time hawakumzomea ni alivyokuwa anaimba na Davido nahisi walimwonea aibu Davido..hahaha…
Eti wanamzoea huku wanaimba KIBA,KIBA KIBA….
Ali Kiba alivyopanda kwa steji wakamshangiliajeeeeeeeee
Duh wabongo noma aiseeee……Jamani huyu kijana amestruggle sana mpaka amefika hapa kwanini mnamuharibia career yake lakini? sio fair kabisa yani.
Kiba aliamua mwenywe kupumzika mziki, sasa karudi. Sio haki kwamba kurudi kwake ni atumie kumrudisha Diamond nyuma. Mie naona kama Kiba apewe support na Diamond apewe support ila sio haki kabisa kumwaribia Diamond.  Kwani kamkosea nini Kiba lakini? Beef la mwaka 47 nyie mnalikuza leo.
Kwani lazma kuwe na one bongo flava king only? kwani hawawezi kuwa wawili, au watatu au wanne? Wasapotini wote jamani.
Acheni hizo bwana sio poa kabisa
 
 
BASI MASHABIKI NAO HAWAKUA NYUMA WAKATOA MAONI YAO JUU YA SHEM DARLING WETU.
 
Anonymous
WA TZ KAMA TUMEROGWA SIJUI KWANIN YAAN UKIWA CHIN WATAKUSAIDIA UPANDE JUU HATA KWA KUKUAZIMIA NGAZI KWA JIRAN WATAKUTIA MOYO WATAKUPENDA BALAA SASA UKIFIKA JUU UWWW WANAKUCHUKIA NA KUFANYA KILA WAWEZALO USHUKE CHINI. ILA CLOUDS NAO WALAUMIWE MAANA ZILE SCREEN VIDEO ZA ALIKIBA AM SURE WALIZIANDAA WAO ZILIKUA ZA KUCHOCHEA BEEF NA KUMSHUSHA DIAMOND.
43
3
  • Diamond kaa mbali na usimzungumzie Kiba mi naona anataka kurudi kwenye game kwa kukudiss kaa naye mbali ni linyoka tuu na lenyewe na hawa mawingu fm unakumbuka walichomfanya Ngwear na Jaydee? stay away from them shauri yako na hao friends wangalie sana, na acha kwenda kwenda kwenye media only when is necessary :blow:
    huwajui watanzania majungu ndo jadi
 
 
Leo Diamond kapamba hardnews zote mpaka nyingine ukurasa wa mbele, hakuna cha Siti wala Ali Kiba. Kisa hizo sare za jeshi. Akiadhibibwa akifanywaje lakini yeye leo ndio kachukua nafasi kubwa kwenye magazeti kushinda mtu yoyote ile. Hayo ya adhabu yatakuja baadae, lakini ndio keshatumia opportunity ivooo.
Halafu cha ajabu hizo sare za jeshi alivaa hata Ney wa Mitego lakini sijamuona kuandikwa.
nyongo mkalia ini Reply
Tatizo waTZ tuna maroho ya kimaskini sana yani sana hatupendi kumuona mtu yuko on peak eti wamemzomea kisa DIMONDI ana mishauzi sasa kama ana mashauzi ni kwa pesa zake alizostruggle nazo akati wewe usiku umepumzisha pumbu zako kitandani mwenzio alikua anakata viuno on the stage ili apate pesa hata ya kubadilisha mboga sasa Leo hii yuko juu mnataka kumuangusha tena na media kubwa mamae zenu nyiee.. Yani naandika nna uchungu even tho DIMONDI simkubali kwamba ni mkali kivilee ila why umfanyie mtu fitna ambazo wewe azikusaidii chochote zaid unajiongezea laana tuu.. Huyo Kiba nani alimchagua kua king sijui wa Bongo flava?? Mbona hatukuitwa kwenye uchaguzi?? Maaanina zenu nyie.. Clouds na nyie mjirekebishe show gani inajaa watoto wa kwa bibi Nyau tuu nasikia eti TI alisema watu wanyanyue sim zao wapige selfie watu wakanyanyua mavidole yao kama tangawizi wakaweka alama ya peace & love uwii hahahahaaa

Umenichekesha ila acha nikujibu kiswahili lugha nina uhakika nayo. Heti Diamond amuombe msamaha Kiba? Kwa lipi? Like seriously? Ushamsikia diamond akihojiwa anamtaja kiba? Hayo unayosikia mengi ni maneno amewekewa mdomoni, kiba anarudi kwenye gemu kupitia diamond kila mahojiano lazima amtaje kwani anashindwa kusema no comment? Heti Kiba ana managinent nzuri hapo ndipo ulipochekesha, kiba anakuja Europe kufanya show za euro500 kitu ambacho diamond hawezi fanya. Kiba amejiweka so cheap trust me, hao mawaingu wamemtumia sana kwa pesa ndogo ambayo hawawezi kumpa Almas na aliwagomea kwanza. Wasanii watz wanatakiwa kumshukuru Almas na jide maana wamewaonyesha music ni biashara na sio starehe tu, do not settle for less. Watz sio wa kuwaamini hata huyo kiba akipanda akifika juu wanataka kumshusha, hivyo ndivyo Mungu alivyotuumba. Kiba kumfikia diamond bado kabisa, nilikuwa mshabiki wa wote ila jinsi kiba anavyopepesa mdomo kumsema mwenzie amenitoka, imagine hasingerudi kupitia mgongo wa diamond nani angemsikiliza? Maana wimbo wake wa mtoto wa Dar es salaam na dushelele ni sawa tu. Ok aandae show kiingilio kuwe elf50 kama diamond tuone watu wataenda wangapi? Diamond does not settle for less na mapromoter wakitz hawataki hiyo ndo wamemtafutia cheap labour apambane nae ila ni vitu viwili tofauti. Diamond ni go getter mwengine anaridhika haraka ndo maana zaidi ya wimbo waliomba kundi na rkelly ila hakuweza kutoa wimbo just two of them ile chance angepata diamond tungekuwa tunaongea mengine. Wameona diamond lazima aombe collabo na TI ndo wametaka kumdiscourage.. Mungu atamsimamia

Louis VNITTON
Reply
Hivi hawa Clouds wanataka kutuLundenga hivi hivi wanafikiri Watanzania wa leo ndio wa jana?
Mashabiki hawajafika uwanjani wao walijuaje kuwa Diamond atazomewa mpaka wakaita management yake na kuwaambia kuwa eti Diamond asiperform kwa sababu atazomewa. Unajuaje hisia za watu ambao hata hawajakata tiketi?
Angalieni nyie clouds msijifanye miungu watu wala msitake kuleta vita isiyo na kichwa wala miguu, kama Ali Kiba anataka kupanda mshaurini afanye kazi kwa bidii afikie level ya Diamond. Diamond hapo alipo keshafanya collabo na Davido, Mafidzikolo, Iyanya, you name it na bado anajituma. Sasa msimdanganye Ali Kiba kuwa atapandia mgongoni mwa Diamond.
Halafu hao mashabiki gani wa kuwasha na kuzima kama taa? Eti alivyopanda na Davido hawakuzomea kama sio mapandikizi yenu hayo.
By the way, mimi sikuwa nampenda Diamond kihivyo kutokana na vituko vyake vya wanawake, nilikuwa nampenda sana Ali Kiba kutokana na kuguswa na nyimbo zake za zamani. Lakini kwa hili mlilolifanya, na kama nikigundua kuwa Ali Kiba nae alishiriki basi Ali Kiba will no longer be my fav artist. Kwa sababu atakuwa amefanya kama ya Sitti Mtemvu. Na sio mimi tu atapoteza fans wengi kwa sababu ya mambo ya kijinga kijinga. Apige kazi tuone matokeo sio kupiga majungu, mscheeeewwww

Louis VNITTON
Reply
Ali Kiba, ukiendelea na cheap publicity stunts badala ya kufanya kazi nitakudiss :ass-kicking: :ass-kicking: Ulisikia wapi mtu anapumzikaa wee kisha akute wengine wamepiga hatua anaanza kuwafanyia vituko? Piga kazi dogo, mwenzio umemsikia kasema music kwake ni business.
Sisi tunaokwambia ukweli ndio tunaokutakia mema. Badala ya kufanya kazi kutwa upo na Diamond mdomoni wakati mwenzio anasaka mahela.
Unanitia hasira kweli yaani umegeuka kama Bedui na kundi lake wao wanahangaika kumchafua Mange mwenzao yuko busy anasaka mahela

juliana
Reply
kuongea kiukweli kilichofanyika sio kitu kizuri kabisa ivi kwanini watu wanakuaga na roho za kwanini?
ivi hao clouds wanaisi wanajenga au wanabomoa, wao ndo wanatakiwa wawasaidie wasanii waweze kushindana na nchi zingine ili tuweze kujulikana kimataifa sasa wao wanaleta vita ndani kwa ndani, unafikiri ikija show nyingine mashabiki wa diamond hawatomzomea kiba nawao sasa wanajipanga, and mwisho wa siku ni nini msipende kuchochea vitu ili kuaribia wengine na kunufaika nyie,
this is for Diamond kama hatasoma your a strong person na unaweza umetoka mbali from nothing and now you have something never give up hizi ni challenge tu za maisha trust me wengi wanakuelewa na wanakukubali wewe ni another stage baba atakae taka kukufikia aendee tu BET na apate ile STAR sign lol. keep working do ur thing baba umepeperusha pendera sana kaka we appreciate that,
Ali kiba sasa mimi naomba nikushauri kitu hao mashabiki wako ndo watakufanya usiendelee coz utaitwa kwenye shoo za maana watu wataogopa mashabiki zako watazomea so put urself together and talk to ur fans walichofanya sicho, wewe u had a chance uko nyuma and we loved you ukafanya mpaka ile colabo SA ya All star but you never used tht as a chance mwezako hata akienda kufanya show anatafuta fursa ya colabo and kama unataka kutoka kimataifa na wewe work hard u will get thr na watu wataona ila kama unataka kubaki hapa baba endelea na bef za kitoto
Wote mnaweza:
Diamond kumbuka LIFE IS WHT U MAKE IT AND HARD WORK PAYS :blow: ,
Alikiba kumbuka ITS NOT WHAT YOU DO ITS HOW U DO IT :blow:

lin kim
Reply
Nna maswali kwa Ali Kiba aliekutuma ukae kimya kwenye mziki ni nani? Wakati wako ulishindwa kuutumia vizuri..leo hii unakurupuka usingizini unamvamia Diamond ili akupe kiki nawe upate kusikika upya :ass-kicking: :ass-kicking: :ass-kicking: . Mbinu uliyotumia yakifala haitakusaidia coz diamond anaakili zake hatokupa airtime so utasubiri saaaana. Eti the king is back nyokooooo ulikuwa wapi siku zote?? Wewe piga kazi kama nzuri zotapendwa sio kuleta ushuzi wa mabiff :ass-kicking: :ass-kicking:





HIZO NDO COMMENT ZA WADAU KUTOKA KWA MANGE, ,,,,,,,,,,, MI KAMA RACHEL TANZANITEMOVIES NAUMIA TU NINAPOONA KIJANA ALIYEJITUMA KUTOKA KWENYE UMASKINI TANDALE ANATAKA KUANGUSHWA KOSA LAKE LIKIWA ETI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUTAMBULIKA KIMATAIFA, ITS SAD KWA KWELI,
31

2 comments:

Anonymous said...

Jamani mimi siyo mushabiki wa DIAMOND wala mushabiki wa muziki nina swali kwa KIBA ulisema eti ulipumuzika kuleya wa toto wako ,awo watoto awana mama zaho? Kweli kama ulipanga kuzomeya DIAMOND kweli siyo cool.nani alikwambiya utoke kwenye game?ulizo ya

Anonymous said...

Dada Rachel ili Jambo lina ni uma sana tena sana kitendo yakuzomeya DIAMOND .nahuliza wakati
DIAMOND alikuja uku USA kwajili ya BET hakuja na bendera ya kigoma lakini alikuja na bendera ya TANZANIA come on ,mumefikiri mume muhahibisha mume jihahibisha wenyewe mbele zawageni.na huyo KIBA nani alikwambiya utoke kwenye game come on brother eti ilikuwa na chunga watoto wako ,awo watoto awana mama zawo?jamani mimi siyo mushabiki wa DIAMOND lakini nimehumiya sana.kweli kama ulipanga njama kwajili ya kuzomeya mwezako ujuwe kama vyote vina lipwa chini ya juwa,na usiwaze una mushusha ila unamupa kiki sasa kwa sababu kila kona wana muhongeleya DIAMOND