Friday, October 31, 2014

MCHEKI MDOGO WAKE KIM KARDASHIAN ALIVYOFANYA OPARATION YA KUONGEZA LIPS

ANAITWA KYLIE NI MDOGO WA MWISHO WA KIM KARDASHIAN.
embu tazama hizo picha na jinsi lips zake zilivyokua zinakua kubwa siku hadi siku


PICHA YA CHINI KABLA HAJAZIFANYIA UKARABATI LIPS



CHINI HAPO TENA BADO HAJASTUKA KAMA HANA LIPS



PICHA YA CHINI AMESHASTUKA HANA LIPS AKAKIMBIA MBIO KWA DOCTOR KWENDA KUONGEZA LIPS ILI AWE KAMA ANGELINA JOLIE



LIPS ZIMECHACHAMAA NA ANAZIPAKA LIPS STICK KIMADOIDO ILE MBAYA NA MAPOZI YA PICHA ZAKE YE NI KUONYESHA LIPS TU WAKATI DADA YAKE AKIWA BUSY KUONYESHA MAKALIO



Ndo hivyo kama mnavyomuona motto huyu ambaye sasa hivi kawa gumzo huko Marekani kutokana na kitendo cha kufanya operation ya kuongeza lips wakati yeye bado ni mdogo anamiaka 17 tu, LIPS ni midomo jamani kwa wale msiojua, motto huyo amekuwa akiulizwa mara kwa mara juu ya kulikoni kazaliwa na vilips vidogo halafu leo hii anamilips mikubwa, amekuwa akiwajibu kwamba hajafanyiwa operation bali ni make up tu ndo zinamfanya aonekane hivyo,

WAAFRICA TUMEBARIKIWA LIPS NZURI NA MAUMBILE MAZURI NA NGOZI NZURI, ZAMANI WAZUNGU WALIKUA WANATUONA KAMA MANYANI HIVI SASA WANASHINDA JUANI ILI NGOZI ZAO ZIWE ANGALAU NYEUSI HATA KIDOGO, WANAFANYA MA OPARATION YA KUONGEZA LIPS NA MAKALIO ILI WAWE NA MAUMBO KAMA YETU,  bora nilivyozaliwa muafrica nimepunguza gharama za ma operation ya lips.

No comments: