Thursday, October 30, 2014

MCHEKI KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST WALIVYOTOKELEZEA

Kim Kardashian & Kanye West at the airport
 
Hii couple ilikua inasemwa sana huko Marekani lakini sasa hivi wenyewe wamewakubali, Kim analipenda sana hilo jacket naona hii ni mara ya nne kulivaa, sasa mastar wetu mnaoogopa kurudia nguo chukueni mfano hapo, nguo ununue mwenyewe kwa hela yako na umeipenda halafu unaogopa kuirudia kisa utaonekana umechacha, hii ni SHIDERRR.
 
 
anyway naweka habari za Kim Kardashian kwasababu pia ameshacheza movie kama mbili hivi, najua mtashangaa kwanini namuweka wakati yeye si muigiza humu hata ukicheza movie moja habari zako ntakua na ziweka na ma reality star pia nawaweka.


 

No comments: