Wednesday, October 29, 2014

MADAI YA KWAMBA AUNT EZEKIEL NI MJAMZITO JE YANAUKWELI WOWOTE.

Baada ya muigizaji Aunt Ezekiel kuonekana akiwa na kitumbo ndi kwenye birthday party yake week end hii, wengi wametoa maoni kwamba Aunt kanasa ujauzito, huku wengi wakiwa hawaelewi kama ujauzito ni wa mumewe Sunday Demonte au wa yule mcheza show super handsome wa Diamond kwasababu hivi karibuni Aunt alizushiwa kwamba anamahusiano na mcheza show huyo, Kama ni kweli Aunt ni mjamzito hongera zake manake kapendeza mno yani nilivyomuangalia mbona nimetamani motto ghfla.


PICHA YA CHINI NI AUNT EZEKIEL AKIWA NA RAFIKI YAKE LE BIG SHOW LE MUTUZ NATION U KNOW, HAPO LEMUTUZ ALIKWENDA KUMPONGEZA AUNT KWA KUZALIWA TENA U KNOW, LEMUTUZ HUWA ANASEMA NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA KWA HIYO HAPO LEMUTUZ ALIKUA ANARUKA NA NDEGE WANAOFANANA , HAKUKUWA NA LE GADEM MAZAFANTAZZ MBURULAZZ U KNOW.

No comments: