Monday, October 27, 2014

WAKATI WEMA NA DIAMOND PLATNUMZ WANAJICHORA TATOO ZA WAZAZI WAO, NUHU MZIWANDA YUKO BUSY KUCHORA TATOO YENYE SURA YA SHILOLE MKONONI.

 HUYU NI BOYFREND WA SHILOLE AKIWA NA TATOO MPYA YENYE SURA YA SHILOLE
Mwanzo Nuhu alianza kujichora tattoo iliyoandikwa kwa maandishi makubwa jina la Shilole, tena basi sio jina halisi bali A.K.A ya shilole ambayo ni SHISHI BABY. yani litatoo likubwaa limeandikwa SHISHI BABY wakati the real name ya shilole ni ZUWENA, anyway tuachane na huo mkono mmoja, juzi tena mwanakaka kaamua kujichora mkono mwingine kama mnavyouona hapo juu ukiwa na sura ya Shilole. wadau wengine wanasema Nuhu anajichora ili kuwakomoa watu wanaomsema kuhusu mapenzi yake na shilole, sasa wananchi muache kumsema huyu motto manake mkiendelea motto atageuka LIL WAYNE maana atajichora viungo vyote vya Shilole miguu mikono simnaona kaanza na sura,
 
TATOO NI MCHORO PARMANENT NI HATARI SANA KWA KIJANA MDOGO AMBAYE BADO HAJAJUA MAISHA NI NINI KUJICHORA MAJINA AU PICHA YA MPENZI WAKE MAANA MKIACHANA UTAENDELEA KUBAKI NAYO NDO MAANA ULAYA MTOTO KAMA HAJAFIKA MIAKA 18 WAZAZI HAWAMRUHUSU KUJICHORA TATOO HATA YA UA.
 
 
DIAMOND NA WEMA HAPO CHINI WAKIWA NA TATOO ZA WAZAZI WAO.
 


Hawa ni kama Romeo and Juliet, lakini pamoja na kupendana kwao na pamoja na kwamba mpaka sasa wamekaa miaka mitano na wanapitia misuko suko mingi lakini hakuna aliyethubutu kuchora tattoo yenye jina la mwenzake na badala yake KILA MTU ANA TATOO YENYE JINA LA MZAZI WAKE.




CHORA TATOO LAKINI WEKA JINA LA WAZAZI AU WATOTO SIO LA MPENZI.

No comments: