Wednesday, August 6, 2014

WEMA SEPETU VS HAMISA MOBETO,

                                                                       WEMA
                                                                       HAMISA
WEMA



                                                                      HAMISA
                                                                 WEMA
HAMISA

WEMA

HAMISA
WEMA

HAMISA
WEMA
HAMISA



UNAHISI NANI ANAMVUTO KUMZIDI MWENZAKE?





3 comments:

Anonymous said...

Wema zaidi

Anonymous said...

Wrote wana mvuto ila wema kazidi.. Sema huyu hamisa kwa sasa atakick sana kwakuwa yupo kikazi zaidi hataki mambo ya kijinga... Wema anajimaliza mwenyewe na madra.. Hataki kufanya kazi anataka kuhongwa tu in short hana jipya kwa sasa na tu naona anazeeka tu na kufua nguo za dai.... Mwenzie anachukua tuzo yeye anaishia kumpokea na kufua tu.. Ameishakwisha hana jipya kabisaaaa... Yaani kama kanumba aliondoka ana kipaji chake... Amekalia kwenda clabu na kwenye vigodoro.. Tena asipoangalia hata huyo dai atamuacha kwakuwa wanaume huwa Hawaoi wanawake wNaoshinda kwenye vigodoro na clabu... Naongea Nina uchungu sana na wema nilikiwa npenda sana tena sanaaaaaa lakini naona ananiangisha kanbisaaaaaa kukaaa wakati ana kitu anacho kikubwa sana.. Hata sijui hiyo manager anamanage nn..na ndio mama siku hizi utasikia wanazusha dai anatoka na hamisa kwakuwa watu wanaona dai anapiga kazi... Yeye wema yupo tu hana chochote watu huwa wanapend kuunganisha matukio wanahisi dai akiwa na hamisa wataendana kwakuwa wotw wanajituma... Kwakifupi hata mie naboeka sana I wish ningepata nafasi ya kuonana na wema nimlilie hata machozi aweze kufanya kazi awe sereous na kazi ataona atavokuwa milionea....lakini dah... Naona kabisaaaa wema anakwishaaaaaaaaaaaaaaaaaa tena anakwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Kama unaweza mpelekee huu ujumbe a some.

Anonymous said...

Message yako inajionyesha waziiiiii una wivu na Wema,poyeeee Wema atanaki kuwa Wema barua ndefu hiyo ungemuandikia anayekuhusu,Wema hata kwa sura hujamuona unaishia kumsoma mitandaoni.