Thursday, August 28, 2014

ANGELINA JOLIE NA BRAD PITT WAMEFUNGA NDOA NCHINI PARIS.


HILI NDO ENEO WALILOFUNGIA NDOA HUKO PARIS


HAWA NDO HUSBAND AND WIFE


Brad Pitt and Angelina Jolie
HII NDO PICHA YA KWANZA BRAD KUPIGWA TOKA AWE MUME WA MTU


Brad Pitt




MMHHH kwanza nasikitika sana BRAD PITT kua off the market, Angelina u are so damn lucky, Brad kwanza anavyovutia hivyo unaweza kusema he is 35 kumbe he is 50 uwiii, halafu huwa hana makashfa ya ajabu ajabu," jamani nilikua nachelewa kuolewa nikitegemea Brad atanioa ha ha ha ha kidding"  ANYWAY MASUPER STAR HAWA WA HOLLYWOOD WAMEONA WEEK END HII HUKO PARIS, NDOA YAO ILIKUA NI YA SIRI MNO WATU WAMESHTUKIA BAADA YA KUONA PETE YA NDOA KIDOLENI KWA BRAD PITT, INASEMEKANA MTOTO WA KWANZA WA ANGELINA NA BRAD NDO ALIYEMSINDIKIZA MAMA YAKE PALE MBELE KANISANI, NA WARUSHA MAUA WALIKUA NI WATOTO WAO WAKIKE, MPAKA SASA PICHA ZA SHEREHE HIYO HAZIJATOLEWA.

No comments: