Tuesday, August 26, 2014

UNAJUA NI KITU GANI SHILOLE NA KAJALA MASANJA HAWAPENDI KUVAA PAMOJA NA KWAMBA WANAPENDA SANA UREMBO?






KAJALA MASANJA







Waigizaji hawa wenye mvuto wa bongo movies Shilole na Kajala huwa wanapenda sana urembo na kwenda na wakati, lakini kitu kimoja ambacho huwezi kuwakuta wamevaa ni viatu virefu, yani ni mara chache mno ndo unaweza kuwakuta wako kwenye high hells lakini mara nyingin wenyewe hawapendi shida na kukomazana miguu wenyewe wanapenda kua comfortable na flat shoes tu.

No comments: