Wednesday, August 27, 2014

MUIGIZAJI WA HOLLYWOODA BRAD PITT TOKA AWE NA MKEWEANGELINA JOLIE HICHI NDO KITU ALICHOSEMA HATAKIFANYA TENA.


MAMA WATOTO WA BRAD, ANGELINA JOLIE








Muigizaji mwenye mvuto hasa wa kiume wa nchini Marekani Brad Pitt alikutana mama watoto wake kwenye movie waliocheza pamoja mwaka 2006 inayoitwa MR & MRS SMITH, mapenzi yao yaliposhamiri Brad kwa kipindi alikua na mke ambaye pia ni muigizaji JANE ANISTON, ilimbidi Brad amtwange talaka Jane ili kuanzisha familia na Angelina na hivi sasa wanawatoto sita ambao watatu ni wakuwazaa na watato ni wa kuadopt,


KUTOKANA NA BRAD KUMPENDA ANGELNA KWASABABU YA KUCHEZA MOVIE YA KIMAPENZI PAMOJA, BRAD AMESEMA KAMWE HATACHEZA TENA KIMAHABA KWENYE MOVIE ZAKE ZIJAZO, HATA IKITOKEA AKACHEZA KAMA MUME AU MCHUMBA WA MWANAMKE FULANI BASI ATAHAKIKISHA HAKUNA YALE MAMBO YAMAHABA NILIPUE YANI ITAKUA KAMA MAHABA YA KIHINDI KISS YA MBALIIII, BRAD ALIAMUA KWA KUONA KWAMBA ANAHITAJI KUMUHESHIMU MAMA WATOTO WAKE NA KUMFANYA AWE CONFORTABLE MANAKE KAMA UNAVYOJUA KAMA MLIKUTANA KWENYE MOVIE YA MAHABA LAZIMA MUME WAKO AKICHEZA TENA KIMAHABA NA MWANAMKE MWINGINE UOGOPE UHISI NA WEWE UNAWEZA PINDULIWA.

No comments: