Wednesday, August 27, 2014

MUIGIZAJI MONALISA NI KAMA GENEVIEVE NNAJI WA NIGERIA.







Huyu hapa chini ni muigizaji wa Tanzania anaitwa MONALISA, na huyo juu ni muigizaji wa Nigeria anaitwa GENEVIEVE NNAJI.






Hawa waigizaji huwa kwanza wanafanana rangi zao za ngozi, wote wana natural African colour,  pia wote huwa wanaheshimika sana kwenye jamii, huwa wanajiepusha sana na maskendo ya hapa na pale, na ni wazuri pia kwa muonekano na wanakipaji hasa kwenye uigizaji.

No comments: