Friday, August 1, 2014

KUTOKA KWA SINTAH BLOG KUHUSU WASANII LULU MICHAEL NA WOLPER

Jana kwenye blog ya Sintah nimeona kulikua na post inayohusiana na masuperstar wanaokopa sana kwenye maduka ya hapa mjini, nikaangalia comment za masuper star waliotajwa zaidi nikaona ni Lulu Michael na Jackline Wolper, HAYO YALIKUA NI MAONI YA WATU ILA HILI SWALA HALINA UHAKIKA KWANI TUNGEWASIKIA WAMILIKI WA MADUKA WANALALAMIKA NDO TUNGEAMINI,
                                                              JACKLINE WOLPER


HAYA HAPO CHINI NDO MAONI YA WATU

WATAJEEEEEE,WOLPER NAMBARI ONE
jaman wolper na lulu wanaongozaa khaaaa manake huyo lulu hata sijui kama ana nguo yake nzuri ya kutokaa manake kila kitu anachukuaa fashion avenue jamana khaaaaaa wabadilikee wolper mpka sasa anaonekana mshamba wa kuvaa manake anajivover mpka anapitilizaa kwa nn asiwe simple tu jaman manake anatumiaa nguvu mpka anaonekana wa kujaaa loooh

  1. Wolper jamni khaaa daa anakopa huyu hatari haadi kutengeneza kucha anakopa. Kunacku nilikuta America nail wanamzungumzia. Pia Lulu anakopa sanaaa na kupewa nguo za kufanyia.matangazoo. mmh mishauzi tu la mno Nehii.
    1. Lulu
    2. atakua wolper

    wa ku like commentJuly 31, 2014 at 1:40 PM
    ahsante ababa sijui amama nimekupenda bureee, ila wolper naye kanakopa hahahha jamani acha tu lulu namsikiaga sikiaga alafu wanaowakopesha hao hao ulitoa mguu tu anakusema mpaka anaonyesha msg unazochatt nae chezeya JOAN wewe muache kukopa fanya kitu kulingana na uwezo wako jamani


    Wabongo si huwa mnajidai wakali wa kunyuka pamba kuliko wa ulaya..kumbe mwakopa!!!makuuubwa! What a shame. Na huyu lulu nilikuwa namsifia mkali wa pamba kumbe anavishwa za matangazo..shamshusha thamani..wolper mzuri sana kama anakopa aache jamani. Unaniangusha bint massawe..khee! Kwani lazima kila siku uvae nguo mpya? Utampa tabu shemu wetu pindi watakapoanza kukudai
    lulu

    1. Zelish umenena , watu wataanza kusingizia wenzao kisa wivu au stuff za dizain hyo. Not gud,na wee sinta topic za dizaini hii kutafutana maneno na watu tuu,wee unazani hao kina wolper na lulu ambao ni mashoga zako wanatajisikiaje wakiona wananyanyavuliwa kwny blog yako? Sio vizuri sio vizuri. Usibane hii comment sinta
      Delete



    2. kama wanakopa wasisemwe? dawa ya deni ni kulipa so hata kama ni shoga zake haturembi ujinga hapa waende wakalipe kwani hii haiwagusi wao tuu kama na wewe ni mmoja wao nenda kalipe hatakama ulikopa chips napo ni deni tuu haijalishi deni lazima liwe milioni hela ni hela mradi umekopa nenda kalipe ili ukopesheke tena. msg sent

    3. wolper jmn kalipe lile deni marry saloon..ulimpeleka dem msagaji mwenzio akatengenezwe nywele ukajifnya utarudi ulipe mpka leo..syo vizuri wolper.. sintah usiibanie
      ReplyDelete


    4. Wolper unapenda kukopa..kuna siku alienda kijiweni kwakina chonchi yeye na Kajala ..alipofika akauliza Chonchi ndio nani watu kimyaaaaa..baadae Chonchi akasema janamke malaya hili linanitafuta ili linichuneee..shoga katambikeee wauza sembe hawakutaki utaishia kuvaa mitenge ya kiki mpaka ukome
    LULU MICHAEL acha kukopa American nails jamani hadi kucha watengenezwa kwa mkopo yarabi....! acha hizo jamani wolper mnajishushia heshima big up MadamSepetu jamani wema ni wema daima hata lulu huwa anamuiga madam Wema akiona wema kaposti kitu insta na yeye anapost ili apewe likes ovyoooooo post insta kwa muda wako tuone kama utaringa hivyo...na likes utapata

                                                                 LULU MICHAEL



    1 comment:

    Anonymous said...

    Lulu na wolper hakuna Wa kuwasingizia Mbona hatukuwasingizia wengine?lulu unavalishwa nguo utangaze biashara unajifanya zako.