Sunday, August 17, 2014

HANDSOME WETU WA LEO NI KAKA MANEGER WA WEMA SEPETU MARTIN KADINDA.






Photo: Wishing you all great friday



Photo: missing u all my people... nimeingia katika tuzo za vijana walioleta mapinduzi katika fashion... if unakubali kile nikifanyacho basi nipigie kura  kupitia hiyo link hao chini.


http://www.youthawards.or.tz/polls.html#.UcgMBLTGlFR

Huyo ni Martin Kadinda, nimemuweka humu kwasababu ni maneger wa Wema Sepetu, Martin bwana mi huwa ninapenda sana kazi zake hasa zile za kiafrica za kwachukwachu, lakini pia ni kijana asiyekua na makuu kabisa, na huwa anaongea na kila mtu, anamaono ya mbali, na akiwa na urafiki na mtu basi huwa ni muaminifu yani huwa ni rafiki wa kweli,




No comments: