Saturday, November 30, 2013

SINTAH NDIE ALIYEMRITHISHA WEMA KUANDIKWA MAGAZETINI.

                                                            SINTAH
Enzi za Sintah zilikua balaa, huyu ni muigizaji wa siku nyingi, ingawa hivi sasa haigizi sana, Sintah miaka ya 2000 mwanzoni alikua tishio kuliko tunavyomuona Wema hivi sasa, yani kwa kipindi hicho Sintah ndo alikua anaongoza kwa kuandikwa kwenye magazeti kupita msanii yoyote, ndo msanii aliyekua akiuza magazeti kwa lugha nyingine, hivi sasa nafasi yake imeshikwa na Wema Sepetu.


                                         WEMA SEPETU
Wema ndie anayeng'aa kwa miaka ya hivi sasa, mpaka sasa nafasi yake bado haijukuliwa. ukifwatilia kwa ukaribu utagundua kwamba hakuna watu wanauza magazeti ya udaku kama wasanii wa movie,

No comments: