Saturday, November 2, 2013

MKE MZUNGU WA MZEE SEPETU AJUMUIKA KWENYE MAZISHI ZANZIBAR



huyu mama mzungu ndie aliyekwenda kuweka taji kama mke wa mzee Sepetu.
 
 
 mke mwingine wa mzee sepetu mama yake na muigizaji anayependwa sana Wema Sepetu
 
 
 huyu ndio motto wa kwanza kabisa wa mzee Sepetu,
 
 
 Huyu pia ni motto mwingine wa marehemu mzee Sepetu.
  Wema sepetu akiwweka mchanga kwenye kaburi la baba yake mpendwa
 
 
 Wema na huyo point 5 ni dada yake wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao

No comments: