Sunday, November 30, 2014

MANGE KIMAMBI KWENYE HILI SWALA LA DIAMOND PLATNUMZ NI BIG NOOOO

Mange kwanza mi nishabiki yako namba moja dada yangu, KWANZA KWENYE HII POST NINGEPENDA UMPE HONGERA ZAKE DIAMOND KWA KUIPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA HALAFU NDO USHUKE NA OPINION ZAKO.maana kikubwa hapa ni ushindi wa Diamond haya mengine ni maisha yake private,
                                                
                        DIAMOND AKIWA NA ZARI
A


B
 
MANENO YA MANGE HAYO HAPO CHINI
 
Diamond akiwa na Zari na mamake….
Dah,yani Wema akirudi tena kwenye hii familia basi ntaamini maneno ya mama yake kuwa kalogwa….
Hapana aiseee,,,Wema pls move on jamani, maana sasa mtaleteana magojwa jamani….. KHA!!!!
IMG_5627
MANENO YA MANGE HAPO CHINI,
Uwiiii Mama Diamond akiwa na mkwe wake mpya Bi Zari…..
Hapana jamani huyu mama ni too much sasa,,,uwiiiii…
Hivi tuseme bahati mbaya Diamond apate ngoma sasa hivi hivi mamake si inabidi alaumiwe jamani…
THis is too much now jamani huyu mama, hapana aisee. Hata kama mwanao ndo anakulisha na kukulisha kuna ujinga mwingine inabidi
umkanye mwanao jamani… Yani mama kutwa uko benet na mabibi wa mwanao,, hivi is this normal jamani?? Labda mie mshamba,
Kiruuuuuu….Nimeshindwa kushangaaa jamani
 
 
MAONI YANGU: kwa nionavyo mimi Rachel, Diamond ni kijana mkubwa ambaye kavuka miaka kumi na nae, licha ya hiivyo, Diamond alikuwa single kabla ya kukutana na Zari yani hakumcheat mtu hapo bali aliachwa akawa single na sasa kapata girlf mwingine, Mama DIAMOND hana kosa lolote, kama Diamond angekuwa kijana chini ya miaka 18 ningesema mama huyu anamakosa, lakini Diamond ni kijana mkubwa, anamaamuzi na maisha yake, huyu mama asiweza kukataa kwenda Afrika Kusini kusherekea ushindi wa mwanae eti kisa Zari atakuwepo hata ingekuwa wewe dada yangu usingesusia ushindi wa Kenzo eti kisa girlf hilo haliwezekani, embu kabla hatujamshambulia mama wa watu MUACHENI MSIKIE AKITAMKA KUTOKA MDOMONI MWAKE MANENO YA KUMKASHIFU WEMA NA KUMPENDA ZARI HAPO NDO TUANZE KUMSHAMBULIA MAMA WA WATU, LAKINI MAMA WA WATU HAJATOA LE TAMKOZ LOLOTE ZAIDI YA KUKAA KIMYA TU BASI TUHESHMU HILO, MBONA MAMA WEMA ALITOA LE TAMKOZ KWENYE BIRTDAY KUHUSU KAJALA WATU WALINYAMAZA NA WAKATI HAKUTENDA HAKI KABISA, mi naona tumuheshimu mzazi wa mwenzetu kama ambavyo tunataka wazazi wetu waheshimiwe, vijana wengi kabla ya kuoaa hupeleka waschana kwa wazazi Diamond sio wa kwanza tena huko ulaya ndo balaa zaidi, Wema na Diamond ni wasanii wanaopendwa sana embu tu concentrate na kazi zao habari za mapenzi yao tuziache maana tutaabika baadae hasa ukizingatia ni lazima watarudiana .
 
 
BAADHI YA COMMENT ZA WADAU WA MANGE KIMAMBI.
 
 
Ukisha fikisha 18 wewe ni mtu mzima , sidhani ni sahihi kusema akipata ngoma mamake ndo alaumiwe Chibu ni mtu mzima n let him make mistakes hayakuhusu.
Na hayo ya magonjwa ungeanza kumwambia mdogo wako.
Mange najua unasema kama blogger ila you sound too personal n judgemental tokea hili saga la hawa lianze by the way si ulisema Wema anajua the whole project?
Inachekesha mlisema anasafiria nyota ya nani? mkazila na kupiga kura.
Anyway hakuna cha kurogwa wala nini mmesahau Enzi zile anaburuzwa na mamake kutoka kwa mbangi bangi wake Jumbe na Kanumba mpaka kupelekana polisi?
Kama Diamond na bibie ni couple mimi naona ndo itakuwa woke up call ya huyu Wema kutoka dunia yake ya kusadikika.Hongera Diamond na Wema move on na its not too let not too early ur young and beautiful u can do it wish u all the best.
Akiwa kris Jenner au Madonna mnamuita wow ila Zari ndo Malaya , haki sawa kwa wote kama vibabu vinachukua vitoto kwani wanawake tatizo liko wapi
 
Olga
You have said it all mkirando,apa naomba nipingane na wewe CEO.diamond kupendana na zari kutamfumbua sana macho wema,uvivu wote utamuishia,atachapaje kazi sasa,atakuwaje classic,manake sasa ivi ni mwendo wa kushindana na zari.hata diamond na familia yake wata advance.mama chibu na halima kimwana kizungu lazima kipande,diamond mmemuona alivyokuwa na confidence sasa ivi?muacheni Jamani,mambo ya magonjwa tunamuachia mungu,wanaokufa na ukimwi wote si wazinifu,tena wazinifu.Go Go Diamond,we ni level nyingine sasa ivi,sio wa kulinganishwa na kina Ali kiba tena

Bado namuheshimu mama Diamond…ni bonge la mzungu…Diamond ni mtu mzima…ya nini kununiana na mwanao ukamtie mikosi eti kisa ana date mtu usomtaka…mbona alivyomkubali Wema hamkusema wakati kwa mama mnoko Wema asingetia mguu kwa huyu mama…
Ikija kwa Zari ndio mnamshangaa…
Mimi naona ni mama tu anaye mind her own business ili mwanae afanye analoona linamfaa
Marichui
Reply
Diamond anastress jamani , kama ni kweli ugomvi wao ulikuwa ile gari nyeupe aliyepewa wema kwenye birthday hebu tujiulize ki ukweliiiii kabisa kama Diamond alifikia hatua ya uchumba , Bi Wema kupewa gari na watu/mtu mwingine kama suprize tena kwa wakati hot kama waliokuwa nao haikumake sense! Wema naye kicheche hajatulia bwana hivi Mwanaume Gani mwenye akili timamu hata kama boyfriend tu ashuhudie unapewa Gari ya thamani Live mbele yake bila maelezo ya kueleweka ??? Nop Wema anamatatizo sana ….anaentatain unnecessary issues ambazo zinamuweka pabaya vilevile , ni kweli Diamond hakuwahi kukuoa ila ukishaamua kujiengage na mtu hivyo heshima na utu lazima uwepo ! halafu Bila haya eti ukakimbilia kwa Penny kupatana na kupiga vipichapicha vyenu vya ajabu mnamkomesha nani ?unajichora tu ! Wewe Mtoto wa kike wewe unaishi sana Maisha ya kwenye TV Kwa kucopy toka kwa Kim K ! Yaani naandika hii comment huku machozi yananitoka Wema Jitambue , ungejua kiasi gani unapendwa na watu wa kila rika ungetuheshimu lakini wala hutujali hisia zetu ,ingawa hatujawahi kuona hizo picha za Vibabu vyako wanavyosema ila kwa Mazawadi Makubwamakubwa tunayoshuhudia unaonekana hata wewe unachiti sana !! Maisha ni kuchagua tu Mwanangu , Kama umeamua kuchuna basi wachune hasa hao wazee wa Escrow, hasa ufanye mambo yako fasta , ikiwezekana tafuta mmoja uolewe kama Mama Machache
mkirando
Reply
Embu kwendeni huko , mnajifanya mna maadili kumbe yakinafiki tuu, mtu kaachwa mnataka mtoto wa kiume ajichue na neck massager ya Mange ama?
Kwahiyo mnaona ni bora atiane lakini kwa siri? no wonder ukimwi haushi . Diamond watie tuu si wanajileta wenyewe ulivyokuwa choka mbaya walikuita ndomo watie mpaka watie akili wewe tumia kinga basi ndo cha muhimu eti anadhalilisha wanawake , mnajizalilisha nyie na ujinga wenu mbona hajaja kumtia mfano Mange ni sababu anajiheshimu , mnapeleka K zenu wenyewe mijimama mizima hafu leo ndo mseme anawazalilisha? aliyerekodi si huyo Penny na kuzomea si alizomea Joketi na Andunje wake ni wanaume hao? si wanawake, mnakera , the kid ndo kwanza 25 asipofanya leo aje kufanya akiwa na 50 kaa lile bonge nyanya ama

Jamani tuache kumuonea huyu dogo hata km ana yake yaani Mange umeshindwa kabisa kusema chichote kwa mtz mwenzio umeona ya mama yake tu? Kwanza hata ukimuona huyo mama hapo usi hauonyeshi furaha hivyo, na tusisahau kuwa Wema kapata pedeshee kamuacha Almas, sasa afanyaje? Akae alie? Akichukua rafiki wa Wema tunamponda, akichukua waliomzidi umri tunaponda muacheni kijana wa watu yupo kwenye kujitafuta maana hakutrgemea kibuti cha dizaini ile. Kingeni Mange we ni blogger ungemshauri na mama Wema hamshauri mwanae kwa anayofanya na husiseme hajui maana anajua mpk kwenye video anawachapa waliomchukulia mwanae ck na diamond kulala kitanda alichonunua Ck ila mama yuko happy mwanae kulala na waume za watu. Mange nakupenda ila hata kama unamchukia mtu sio kihivyo halafu huyo unayemteteaga mwenyewe yanaingia huku na kutoka huku mwisho anarudi pale pale. Kama Wema hasirudi kwa Almas basi na Almas hasirudi kwa Wema maana mama Almas pia hafurahi kuwa na mkwe kiruka njia na ni kawaida mwanamke stara babu, sio kupanua miguu kwa kila atakaye.. Muweke pia Wema tumpe laivu sio kila siku Mtoto wa watu tu..NB: acha kuingilia mapenzi ya Wema na Diamond maana huwa unakuwa disappoited kila siku

diamond hamkomoi wema kumbuka wema ndo alibwaga manyanga diamond amemove on sasa tatizo liko wapi? angekuwa diamond ndo kam mwaga wema sijui ingekuwaje.
diamond ni mtu mzima anajua mbovu na mbichi mama sandra wa watu acheni ajilie kivulini maana alichumia juani nani hapendi kula bata? ukizingatia ulikuwa unazuza mkaa vitumbua mwanao ale leo hii unapandishwa pipa business class halafu ninii? eeh bwana eeh tusidanganyane kila mtu anapenda raha maisha yenyewe mafupi.
jlo alimuacha mume wake wa ndoa akaenda kudate kile kitoto kakizidi miaka 20 hakuna mtu aliongea zaidi ya kuwawish lucky wenye mahusiano yao. kubwa la maadui chriss jenner ye ndo kaua kabisa kamuacha hubby wake wa 23 years kachukua kitu black kama mwaye kim tena kamzidi miaka 18 jamani tuwaacheni tu ndo wameamua iwe hivyo.
mbona huku kwetu mabinti wadogo wanadate babu zao halafu kutwa mnawasifia she is so blessed yuko juu bla blaa. watajijua wenyewe kama wana act au wana date kimpango wao. mange ugeachana na hawa watu maana sasa unakuwa kama uko obsessive na hii couple move on maa get used with it mbona mama mzaa chema mwenyewe kauchuna, wapotezee tu usijeonekana unaona gere bure



HAYA HIZO HAPO JUU NI BAADHI ZA COMMENT KUTOKA KWENYE BLOG YA MANGE. Mange jamani mimi ni msomaji wako mzuri tu wa blog kwa hyo kukukosoa hapa sio kwamba nina chuki na wewe ila kama binadamu muda mwingine maoni yanatofautiana, pia Wema mimi nishabiki wake number one na nampenda jinsi ambavyo hukaa kimya yanapotokea mambo kama haya, kwa hiyo kama ambavyo Wema kaka kimya ingependeza na sisi tukakaa kimya, kama ambavyo Wema kampa hongera Diamond kwa ushindi ingependeza na sisi tukampa hongera Chibu kwa ushindi wake, hayo mengine tuwaachie wenyewe, manake tukichukia kwanini mama Diamond kampokea Zari kwanini tusingechukia kwanini mama Diamond kampokea Wema kipindi kile Diamond kamuacha penny, tena ndo tulitakiwa tumkosoe Diamond kwasababu alikuwa anamcheat[enny na Wema, si bora safari hii Dimond aliachwa ndo akaenda kwa Zari kuliko kipindi kile Diamond alikuwa hajaachwa na Penny ila akaenda kwa Wema na watu tukashangilia. WEMA NA DIAMOND WAKIGOMBANA TUBEBE MAJEMBE TUKALIME WAKIPATANA TUSHIKE VIKAPU TUKAVUNE..

No comments: