Thursday, November 20, 2014

MPENZI MPYA WA DIAMOND ...ZARI THE BOSSLADY ATOA MPYA YA MWAKA.


Huyo hapo juu ni Zari mpenzi mpya wa mwanamziki classic DIAMOND PLATNUMZ, jana alitoa mpya ya mwaka baada ya kuzifollow account zinazomtukanaga Wema Sepetu huko instagram, ila hiyo haishangazi kwasababu anahaki ya kufollow mtu yoyote anayemtaka, KILICHOCHEKESHA WATU NI KWAMBA HUYU MREMBO ETI AMESHAKARIRIWA MARA NYINGI AKISEMA YEYE HAJUI KISWAHILI, NA HATA WATU WAKE HUWA WANASEMA HUYU HAJUI KISWAHILI KWA HIYO WALE TEAM WEMA HATA WAKIMTUKANA WANAPOTEZA MUDA WAO TU KWANI HAELEWI, SASA JANA WANASHANGAA MREMBO ANAZIFOLLOW ACCOUNT ZA KUMCHAMBA WEMA KWA HIYO KUMBE KISWAHILI KINAPANDA SANA TENA HADI MATUSI YA KISWAZI YANAPANDA MAANA HIZO ACCOUNT HAPO CHINI HUWA ZINACHAMBA HASWA KWA MANENO YA KIBONGO . (ila pengine hajui Kiswahili anaweza akaajili mkarimani wa kumtafsilia hiyo michambo ambayo Wema anachambwaga kwenye hizo account)




 HIZI NDO ACCOUNT ZARI ANAZOZIFOLLOW AMBAZO ZINADILIGI NA KUMCHAMBA WEMA SANA.
 

1 comment:

Anonymous said...

memshusha