Wednesday, November 26, 2014

MUIGIZAJI LULU MICHAEL NA SKENDO YA MKANDA WA KUCHEZA UCHI.

                                                      LULU MICHAEL

Hivi majuzi ilitokea hali ya sintofahamu kwa muda kadhaa baada ya habari kuenea kwamba video ya Lulu akiwa anacheza uchi imezagaa , baada ya muda video hiyo ilikuwa imeshasambaa lakini KUMBE HAKUWA LULU MICHAEL HUYU bali ni mschana anayeitwa LULU ambaye ni mpenzi wa mwanamziki dogo ASLAY wa kundi la YAMOTO BAND, mschana huyo aitwae lulu alirekodiwa video hiyo na mchepuko wake kwani inasemekana wakati anarekodiwa akicheza wimbo wa yamoto band huku akiwa uchi wa mnyama hakuwa na boyfriend wake wa siku zote Aslay bali alikuwa na jamaa anayefahamika kwa jina la Rummy.
Lulu Michael wa bongo movies hakuacha hili swala lipite kwani kupitia account yake ya instagram aliamua kukanusha na kusema kwamba wakina Lulu wako wengi Tanzania kwa hiyo mwenye video hiyo sio yeye na yeye kamwe hawezi kukubali mwanaume amfanyie huo uchafu,

ANYWAY TUNASHUKURU HAKUWA MDOGO WETU LULU MICHAEL MAANA BONGO MOVIE HUWA INAKASHFA SANA SASA NDO KWAMFANO HILI SAKATA LINGEMKUTA LULU WETU NAHISI BONGO MOVIE NDO INGEZARAULIKA MARA MBILI ILA HIVI SASA NAONA WASCHANA WENGI WA BONGO MOVIES WANAJIELEWA NA KUJIHESHIMU.

No comments: