Monday, November 10, 2014

SUGAR MAMY WA DIAMOND PLATNUMZ, ZARI AMETUPIA PICHA YA MWANAE MTANDAONI NA KUSEMA MWANAE ANAFANANA SURA NA DIAMOND EMBU INGIA UIONE HIYO PICHA


 HAPO JUU ZARI THE SUGAR MAMY AKIWA KWENYE GARI LAKE LILIOANDIKWA ZARI kwenye plate number, ( Diamond ndo anakaa kwa huyo motto hivi sasa jamani acheeni Diamond aitwe Diamond yani anavyojipendelea warembo ) ila safari hii Diamond kaongeza na jina jipya embu ngoja nikutajie majina ya Diamond yote, kuna DIAMOND, PLATNUMZ,CHIBU,DANGOTE,SUKARI YA WAREMBO, MONDBINLADEEN, na sasa hivi hili jipya ni DIAMOND THE SERENGETI BOY.....





                                                    MTOTO WA ZARI
 
Huo ujumbe wa hapo kwenye picha ni kutoka kwa sugar mamy wa Diamond bibie Zari ambapo amesema kwamba mwanae anafanana na Diamond sura na style ya nywele zake,
 
ZARI NA SERENGETI BOY WAKE DIAMOND WAMEANZISHA MAPENZI SIKU MBILI HIZI LAKINI INAONEKANA ZARI KAKOLEA KINOMA NOMA MPAKA KAANZA KUONA MWANAE ANAE ANAFANANA NA DIAMOND WAKATI SIKU ZA NYUMA WAKATI HAWANA UHUSIANO HAKULITAMBUA HILO.
 
 

No comments: