Tuesday, November 18, 2014

MUIGIZAJI LUCY KOMBA AMCHARUKIA FLORA LYMO MBUTA NANGA..



                  LUCY KOMBA NA MUMEWE.


Muigizaji Lucy komba jana alimchachamaria mwanamama Flora Lymo kwenye page ya instagram ya team ukweli na uwazi, kisa kikiwa ni kwamba Flora aliwahi kumkashifu Lucy juu ya harusi yake na mavazi yake, basi jana topic ikiwa ni juu ya ule ugomvi ulioshika chati hivi sasa wa Mange Kimambi na Flora Lyimo, muigizaji Lucy alionekana akifurahia jinsi Mange alivyomchamba Flora, na kusema ni afadhari Flora ameshikishwa adabu kwasababu yeye alikuwa akimsakama sana alipofungaga ndoa na mumewe tena bila sababu yoyote.




Mwigizaji mkongwe nchini Lucy Komba afunga ndoa. Tazama picha za harusi


                                                          FLORA LYMO MBUTA NANGA






No comments: