Friday, November 21, 2014

RAY KIGOSI ALINADI UPYA PENZI LAKE NA CHUCHU HANS






Muigizaji handsome na expensive Ray Kigosi ameamua kuvunja ukimya na kuweka wazi hisia zake kwa mpenzi wake wa sasa ambaye pia ni muigizaji CHUCHU HANS, Ray ambaye hapo mwanzo alikuwa hana utaratibu wa kutangaza wapenzi wake hadharani alisema........


 licha ya kupitia katika changamoto nyingi za mapenzi lakini kwa Chuchu amefika na haoni tabu kujinadi kwa mtu yeyote juu ya penzi lake hilo.
“Chuchu ndiye kila kitu kwangu, tunaendana kwa kila kitu hivyo nitakaowaudhi kwa kumpenda yeye, wanisamehe,” alisema Ray.Ray kabla ya kuwa na Chuchu, kwa nyakati tofauti alikuwa akitajwa kushea penzi la mwigizaji Ruth Suka ‘Mainda’ na Blandina Chagula ‘Johari’

No comments: