Thursday, November 20, 2014

ZARI AZIDI KUDATA NA PENZI LA DIAMOND PLATNUMZ













EHHH, Basi bwana si mnajua kwamba hivi sasa mwanamziki expensive bongo nzima mr Diamond Platnumz anamsambazia upendo mwanadada wa Uganda anayeitwa ZARI, sasa katika pita pita zangu jana niliona Zari kapost tangazo la kuhimiza watu wampigie kura Diamond kwenye tuzo za chanell o zitakazofanyika hivi karibuni.




HAYA NA SISI TUUNGANE NA ZARI KUMPIGIA KURA OUR SUPER STAR DIAMOND ILI ASHINDE KWENYE TUZO HIZO, NA MWISHO WA SIKU WARUDIANE NA WEMA WETU MAANA NDIO WANAPENDEZEANA.

No comments: