Tuesday, November 25, 2014

UNAAMBIWA IRTHDAY YA BABY MADAHA UCHAFU ASILIMIA 85




SHEREHE ya siku ya kuzaliwa ya msanii wa muziki na filamu, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kijitonyama jijini Dar es Salaam, ilitawaliwa na vitendo vichafu mwanzo mwisho
Hafla hiyo iliyohudhuriwa na watu wachache wakiwemo baadhi ya wasanii, ilifanyika katika Grosari moja iliyopo Kijitonyama.Miongoni mwa mastaa waliohudhuria alikuwa ni mcheza soka wa zamani wa timu ya Yanga ya jijini Dar, Samson  Mwamanda.
Sherehe hiyo iliyoanza mishale ya saa 6.00 usiku ilitawaliwa na vituko kibao vilivyowaacha midomo wazi baadhi ya wahudhuriaji.Moja ya vituko hivyo ni pale Baby Madaha aliyekuwa amekolea kwa kilevi alipoamua kupigana denda laivu na msanii Isabela Mpanda ambaye naye alikuwa kachangamka ile mbaya
Isabela alikuwa kituko zaidi kufuatia kuvaa kinguo kifupi cha pinki kilichoacha sehemu kubwa ya mwili wake, hasa kuanzia mapajani kuwa wazi.
Msanii huyo pamoja na kujitupa huku na huko kilevi na kucheza muziki kwa kukata nyonga kinoma, alikuwa akiinua nguo yake juu na kuonesha kufuli lake ‘white’ na kujishika sehemu za nyuma jambo lililomfanya mmoja wa wahudhuriaji kusema
Jamani pombe ni noma, mnaona mambo ya aibu anayoyafanya Isabela?”
Kituko kingine ni pale mastaa hao waliokuwa bwii kwa kilevi akiwemo Mwamanda, walipoamua kummwagia pombe kichwani na kwenye nguo zake Baby Madaha baada ya kumuimbia wimbo wa ‘Happy birth day to you

                 BABY MADAHA BILA MAKE UP



JAMANI NIMEZIANGALIA HIZI PICHA SIKUMGUNDUA BABY MADAHA MARA NYINGI NAMUONA AKIWA NA MAKE UP LEO KAWA TOFAUTI KABISA BILA MAKE UP.

No comments: