Thursday, November 20, 2014

DIAMOND PLATNUMZ AVUNJA RECORD AFRICA MASHARIKI NZIMA..... INGIA USOME

Diamond & Wema_Sepetu


Siku ya jana, mwanamziki Diamond aliachia ngoma yake inayoitwa NTAMPATA WAPI... ngoma hiyo ambayo kwa wanaofahamu uhusiano wa kimapenzi kati ya Diamond na Wema ni wazi utajua kwamba huu wimbo kaimbiwa Wema, basi bwana, jana Diamond alivyouachia rasmi wimbo huo unaambiwa NDANI YA MASAA MACHACHE WIMBO HUO ULIPATA VIEWERS ELF 50 UTUBE KITU AMBACHO HAKIJAWAHI KUTOKEA KWA MWANAMZIKI YEYOTE HAPA EAST AFRICA, licha ya huko kwenye utube, mji mzima ulikuwa unamzungumzia Diamond siku ya jana, simu zilikuwa busy watu wanaombana kutumiana wimbo wa Diamond kwenye ma wats up, watu walikuwa busy kusikiliza radio na kuangalia tv kwani wimbo huo ULIGEUKA WIMBO WA TAIFA KWA SIKU YA JANA maana ulipigwa kila kona, hii inamfanya DIAMOND kuwa mwanamziki asiye na mpinzani Tanzania, na KWA KAULI YAKE DIAMOND KABLA HAJAUTOA WIMBO HUO ALISEMA HUU KAUTOA TU LAKINI WIMBO HASWA ULIOPANGWA KUTOLEWA PIA UNAKUJA KABLA YA MWAKA KUISHA,



MASHAHIRI YA WIMBO WA NTAMPATA WAPI.....
Sura yake mtaratibu, mwenye macho ya aibu
msahau mnajarib, ila namkumbuka sanaa
umbo lake mahbibu ,kwenye maradhi alonitibu
siri yangu mnaharibu , bado namkumbuka sanaaa,
alonifanya nisilale,jua kali ntafute tukale
lakini hata kujali darling, akatekwa na walee,

NTAMPATA WAPI kama yule niliyempendaga sana
NTAMPATA WAPI kama yule alonipenda sana.


MANENO YALIYOWAVUTIA SANA WATU NI HAYA HAPA
hii ni sauti ya rais
iliyomshinda ibilis
kwa mwanadam sio rahis

kamwambie lazima wajue kutofautisha KATI YA ALAMA YA MSALABA NA JUMLISHA,NA KUNA X NA KUZIDISHA.




NI HAYO TU WAPENZI MPAKA KESHO AU BAADAE NI MIMI RACHEL KAYUNI WA TANZANITEMOVIES..BYEEE

No comments: