Sunday, November 9, 2014

KABAAAANG........ HABARI YA MUJINI HIVI SASA NI DIAMOND PLATNUMZ KUANZISHA MAPENZI NA MWANADADA MILLIONARE WA UGANDA ANAYEITWA ZARI .....INGIA UONE MAPICHA YA KIMALOVEY DOVEY

Le Mutuz
 
 


Week end yote kulikuwa hakuna habari yoyote iliyosikilizwa mji huu yani hata wangeambiwa OSAMA kafufuka watu wasingesikiliza kisa kikiwa ni macho na masikio yote kuwa kwa DIAMOND PLATNUMZ..... juzi kati Diamond sukari ya warembo alikuwa akitokea south Africa, basi kwa bahati mbaya au nzuri akakaa siti moja na mdada tajiri wa Uganda anayeitwa Zari ambaye zamani alikuwaga mwanamziki, basi Diamond na Zari wakapiga mapicha wakiwa kwenye ndege na kusema wamekutana hapo, eh mambo si yakawa mambo, unaambiwa naona wakaachiana ma namba ya simu na mazagazaga yote , basi baada ya kutua bongo si wakaanza kuonekana viwanja mbalimbali usiku kwa mchana wakila raha kama vile duniani wako peke yao yani, basi unaambiwa walipiga mapicha ya kimahaba ile mbaya, na zari kuna baadhi ya picha akitupia kwenye instagram anasema kabisa ASANTE DARLING KWA KUNIPIGA PICHA yani ilimradi tu kuchangamsha genge, kama unavyojua DIAMOND ni wa Wema hata aende wapi ,,,,, huko tayari account fake zimeshafunguliwa instagram kwa ajili ya kumtukana huyu ZARI,          nisikuchoshe hebu shuka chini utazame picha......
                                             HUYU NDIO ZARI THE BOSSLADY
 
ZARI alishaolewa ila hivi sasa wametengana na mumewe, na nasemekana ana umri wa miaka 35 wakati Diamond anamiaka 26, pia Zari anawatoto wa tatu wakiume wakubwa wa kwanza anamiaka 17 ila Diamond hana motto kabisa.....
 
ZARI
 
ZARI AKIWA NA KOFIA YA DIAMOND
 
ZARI AKIWA NA SUKARI YA WAREMBO INAYOENDAGA KUCHOVYA ILA MWISHO WA SIKU LAZIMA IRUDI MAKAO MAKUU KWA WEMA SEPETU
 
SINA CHA KUSEMA NAKUACHIA WEWE
                                          MAHABA NIGALAGAZE
MAHABA NILIPUE KAMA BOKO HARAM
MAHABA NIUE KAMA EBOLA
MAHABA MAHABANI ZARI NA SERENGETI BOY WAKE
 
EHHHHHH. HAPO NI ZARI NA SERENGETI DIAMOND NA LE BIG SHOW LEMUTUZ NATION U KNOW

Le mutuz ndo mzee wa hitifaki yani kitu kikitokea tu mjini unamuachia yeye atakifwatilia mpaka mwisho wake, asante Lemutuz kwa kuwa mwanahabari sharp, na picha hizi pia nimezipata kwa LE BIG SHOW LE MUTUZ NATION, kwa ambao hawamjui Lemtuz huyu ni motto wa muheshimiwa MALECHELA, yeye ni king of all social media Bongo yani ndo anavyojiita ,,,,     mi NAPENDA KUMUITA MZEE WA KUNIONDOA STRESS MAANA KILA NINAPOINGIA KWENYE PAGE YAKE INSTAGRAM BASI STRESS ZOTE LAZIMA ZINIONDOKE, NA NIKIPITIA NA KWA SHANGAZI YAKE MATIKIBOKO YAO BASI NDO KABISA HATA NIWE NIMEUZIWA VIPI LAZIMA NISAMEHE, KIFUPI NI KWAMBA LE MUTUZ KAZI NZURI SANA UNAIFANYA BONGO WE LOVE U, NA SHANGAZI YAKE MATIKIBOKO YAO NAKUPENDAJE SASA NA WEWE,
 

No comments: