Friday, November 21, 2014

MUIGIZAJI BATULI KUMTAMBULISHA MUMEWE MTARAJIWA DECEMBER TANO...






Inasemekana kwamba muigizaji mwenye mvuto wa ajabu asiye na makeke Batuli yupo mbioni kufunga ndoa, Batuli ambaye ni mama wa watoto wawili amesema kwamba ameshajifunza mambo mengi kwenye maisha hivyo hivi sasa ni wakati wa yeye kutulia na kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa siku nyingi wanayependana sana, Batuli hajamuweka wazi mpenzi huyo ila ameahidi ya kwamba tarehe 5 December ndio itakuwa siku rasmi ya kumtambulisha mpenzi wake huyo ili watu wamjue.

No comments: