Tuesday, November 25, 2014

DIAMOND PLATNUMZ AWAKALISHA PSQUARE WA NIGERIA..........AFRICA NZIMA HIVI SASA HABAREE YA MJINI NI MOND BIN LADEN



Ma meeeeeen Diamond Platnumz anazidi ku SHINE Africa baada ya video yake mpya ya NTAMPATA WAPI kupata viewers wengi mno kupita video ya wanamziki wa Nigeria PSQUARE, cha kushangaza ni kwamba Psquare walianza wenyewe kutoa video yao ya wimbo wa SHAKIN siku ya tarehe 17 Nov, baada ya siku tatu yani tarehe 20 Diamond nae akadondosha yake ya ntampata wapi, eh kilichotokea bwana ni watu kususia video ya Psquare na kushadadia video ya Diamond, wengi tunajua wanigeria wako wengi sana na wanasurpotiana kinomi nomi lakini safari hii naona wameamua kumsurpot mtanzania Diamond, huku kwenye mitandao yake pia Diamond akiwa anazidi kuongeza mafollowers wa kumwaga.

mpaka sasa kwenye instagram DIAMOND ANAFOLLOWERS MILLION 3 WAKATI MPINZANI WAKE MKUBWA ALI KIBA AKIWA NA FOLLOWERS 81274 TU,

 

No comments: