Tuesday, November 4, 2014

WEMA SEPETU JANA AWACHANA LIVE WALE WOTE WANAOMSEMA KWAMBA HAZAI, KATANGAZA KWAMBA MBWA WAKE NDIO MTOTO WAKE..INGIA USOME



                  MBWA WA WEMA SEPETU AU MTOTO WAKE ANAITWA VANILLA

HAPA NDIO VIATU NA SOKSI VYA MBWA WA WEMA ALIVYOMUIAGIZIA CHINA


Jana kupitia ukurasa wake wa instagram muigizaji expensive Bongo Wema Sepetu amewapasha wale wabaya wake wanaomuandama kila siku kwamba kwanini hazai, na wengine kufikia hatua ya kumuita mgumba kwamba, yeye motto wake ni huyo mbwa wake hapo juu kama mnavyomuona, anaitwa Vanilla au Vanny, na kwamba kama ye hazai basi kashaikubali hiyo hali na anamshukuru Mungu kwa yote kwani kwenye maisha kuna sababu ya kila jambo, kawapa hongera wale wote walibarikiwa kuwa na watoto lakini yeye kasema labda hakupangiwa kuwa na motto kwa hiyo mwanae ni huyo Mbwa wake.

HIVI JAMANI KWANI WEMA KAOLEWA MPAKA MNAMLAZIMISHA AZAE, MKO DINI GANI MPAKA MNAMLAZIMISHA MTU AMBAYE HAJAOLEWA KUZAA NJE YA NDOA, HALAFU MBONA WEMA NDO ANAMIAKA 26 EMBU MSUBIRINI AOLEWE HALAFU AFIKE MIAKA 40 NDO MUANZE KUMSEMA JAMANI.   

No comments: