Tuesday, July 8, 2014

MAMA MKWE WA MAMA SEPETU ALA MATUNDA YA MWANAE

KWANZA ZAWADI YA KADI, mama akajua imeishia hapa........


130bdy

IKAJA ZAWADI YA KEKI,mama akajua sasa basi maana bday watu wanapewaga keki tu....

127bdy

EH KUMBE KUNA NDINGA BWANA, hii ilimfanya mama yetu atokwe na machozi.....
121bdy

         HIYO NDINGA IMENUNULIWA NA THE ONE AND ONLY NASEEB.....

NASEEB KILA AKIKUMBUKA ALIPOTOKA, anaona mama yake anamchango mkwabwa sana wa yeye kufika alikofika bila mama yake yeye si kitu.

SIKU YA SHEREHE MAMA AKIWA KATULIA....anatafakari Baraka za Mungu.......
13bdy

MAMA, BINTI YAKE ESMA,MKWE WAKE WEMA NA MJUKUU WAKE, pametosha kabisa.....
108bdy

KWA KUA WANADHAMINI DINI BASI SALA ZILICHUKUA NAFASI KWA SANA...
25bdy

MH HAPA NDO NINAPOPAPENDA MIE, WANGENIALIKA JAMANI WALAU KWENYE hii meza tu....
12bdy

HAPO WADAU wakisubiri video mbili za kimataifa zionyeshwe, video zenyewe za nani? malizia....
10bdy

MAMA AKIWA KASHAKAA KWENYE MKOKO WAKE, walah kuzaa kuzuri, embu nifanye fasta na mi nizae..

69bdy


WEMA nae anakumbukia alivyoshindaga Umiss akapewaga gari na mashamsham kama haya,
90bdy


MJUKUU BUSY NA UFUNDI wakati bibi na shangazi wanapata champagne
79bdy


CHEERS MAMA
86bdy


Ni hayo tu, picha asante MILLARD AYO, jamani yani kweli Baraka za mama ni kubwa mno, hata ujitume vipi kama humjali mama yako hakuna kitu, wasanii wengine tunasikiaga wanahonga wanawake magari lakini DIAMOND hajawahi kuhonga mwanamke gari zaidi ya kuwahonga ma less weag, lakini kwa mara ya kwanza kanunua gari kwanza kwa mama yake, halafu baadae sasa ndo mkewe anaweza kupata lakini itakua kwamba gari la kwanza kutoka lilienda kwa mama yake, hongera sana Diamond, kweli si NDUMBA, NI MUNGU,MAMA, HESHIMA, NA JUHUDI YA KAZI.

1 comment:

Anonymous said...

Akili zingine matope anamnunulia gari wakati bado wanashare nyumba hizo mil 38 Si angemjengea ili bi dada akakae kwake?we utakaa na mtoto wako mpaka lini?Si ukae kivyako na dai akae kivyake?