Tuesday, July 22, 2014

HAYA HILI TENA LIMEIBUKA KUHUSU JACKLINE WOLPER NA USAGAJI.

Hayo maneno ndani ya picha inasemekana yameandikwa na mdada kama mnavyomuona jina lake hapo chini, sasa watu wanasema kwamba eti huyo Calisah na Wolper ni wapenzi kutokana na hayo maneno aliyoandika huyo dada.


JAMANI DUNIA SIJUI INAELEKEA WAPI, HIVI SIKU HIZI UKIWA NA RAFIKI YAKO WA KIKE HUWEZI KUMWAMBIA MANENO MAZURI AU KUMUITA MPENZI TAYARI UTAAMBIWA UNASAGANA NAE, BABA AKIMUITA MTOTO MY DARLING WATAMWAMBIA ANATEMBEA NAE, WANAUME WAKIWA VERY CLOSE WANAAMBIWA NI MASHOGA, KWELI DUNIA IMEBADILIKA NA HAYO MAMBO YAPO LAKINI TUJITAHIDI KUONGEA PALE TUNAPOKUA NA USHAHIDI KABISA, MFANO PICHA WAKIWA KWA BED, AU KAMA WAHUSIKA WAKIJITANGAZA HADHARANI.







No comments: