Wednesday, July 2, 2014

HAYA ETI WATU WANASEMA WOLPER MBONA NI BENDERA FWATA UPEPO, KWANINI ASIWE KAMA LULU NA AUNT EZEKIEL.




Hapo juu ni watu wangu ninaowapenda sana, Kajala na Wema,

   BEAUTFULL JACKLINE WOLPER

Kuna baadhi ya mashabiki wanasema eti Wolper ni ndumilakuwili, kufuatia jana kwenye mtandao wa instagram kumsifia Diamond na kumuita shemeji na kumsifia mpenzi wa Diamond ambaye ni Wema, watu wanasema hivyo kutokana na kwamba eti hapa kati kati Wema aligombana na Kajala na kwakua Wolper ni rafiki wa Kajala basi bidada akaingilia ugomvi akawa anamrusha roho Wema na kusababisha mashabiki wamtukane sana, hata kwenye MTV AWARDS  Diamond alivyoshindwa Wolper alimshangilia sana Davido ikiwa ni kama anamuumiza roho Dai na Wema, sasa hivi majuzi wenye ugomvi WEMA NA KAJALA wamepatana ghafla watu wameshangaa Wolper kaanza kujisogeza kwa Wema kwa kumsifia na kumuita Dai shemeji instagram, watu wanasema Wolper kwanini anakua bendera fwata upepo, mbona AUNT EZEKIEL NA LULU MICHAEL waliweza kua kawaida hawakuingilia ugomvi na walikua wanaongea na wahusika wote kama kawaida, watu wanahoji hii tabia Wolper ataacha lini manake huwa analalamikiwa sana kwamba anakatabia ka unafki.


ME I DONT KNOW OOOO, PEOPLE  JUST SEND ME TO DELIVER THIS MSG ABI...

No comments: