Sunday, October 13, 2013

STAR WA WEEK PATIENCE OZOKWOR

Mwanamama huyu huyu alizaliwa tarehe 25 march 1958. jina lake halisi ni PATIENCE OZOKWOR  au kwa jina la kisanii mama G.


                                                       PATIENCE OZOKWOR
 
Patience ameshacheza movie zaidi ya 200 mpaka sasa, yani huyu mama anajua kweli kuuvaa uhusika, akicheza kama mama mkwe mbona mkwe utaipata, akicheza kama mke na mume wake ni mpole mbona huyo mume ataipata, yani kwa kifupi huyu mama hanogi kucheza kama mama mwenye adabu, huwa anacheza kama mwanamke mkatili tu, na mpaka watu huwa wanahisi kwamba katika maisha yake ya kawaida ni mkatili hivyo hivyo.


picha hapo chini ni Patience akiwa na binti yake ambae ameolewa hivi karibuni.
 
 
 na hapa chini ni picha ya picha ya binti wa Patience na mumewe siku ya ndoa yao.
 
 
 picha hapo chini ni motto wa kiume wa Patience na mkewe siku ya harusi yao, yani huyo bibi harusi ni mkwe wa Patience, mbona analo bibi jarusi wa watu.
 
 
 na hapa chini Patience akiwa kwenye harusi ya mwanae huyo wa kiume huko London

huyo ndie mwanamama namba moja Africa kwa ugizaji,  yani sidhani kama kuna mmama kama huyu anayejua kuigiza kiasi hiki hapa Africa. na ni mama wa watoto wa nne, ambapo watatu ndo wake kabisa na mmoja ni wa ku adopt. mume wake alifariki miaka michache iliyopita.

No comments: