Wednesday, October 30, 2013

ALBAM YA TANZANITE


huyu ni bibi GENEVIEVE NNAJI muigizaji bei mbaya Nigeria, hiyo pochi aliyoivaa ni CHANEL ya $4000 na hapo bidada ndo anatuonyesha.


Mwanadada juu ya gari ni muigizaji mwenye mvuto bongo IRINE UWOYA, hapo anaonyesha gari yake mpya aina ya RANGE ROVER .........
 
 
 aliyeachia pochi hapa chini ni muigizaji wa bongo movie JACKLINE WOLPER, yeye anaonyesha TATOO mpya ya hapo katikati ya mguu aliyoichora hivi karibuni.
 
 
Muigizaji wa bongo movie LULU yeye ameonyesha mtu mwenye thamani kuliko wote bibi yake mpenzi.

 
 
 Queen wa bongo movie WEMA SEPETU yeye anatuonyesha rafiki yake kipenzi ambaye ni muigizaji mwenzie KAJALA MASANJA.


Wapenzi wasioachana WEMA SEPETU  na DIAMOND wao wanatuonyesha madini ya njano waliyoyatandaza kwenye miili yao.
 
UNACHAKUTUONYESHA?

No comments: