Wednesday, October 2, 2013

GEORGE CLOONEY NA SANDRA BULLOCK NDANI YA MOVIE MOJA.

Kwa wale wapenzi wa movie nadhani mtakua mnawajua hawa mastar. basi movie yao mpya inayoitwa GRAVITY ipo tayari na itazinduliwa rasmi kesho kutwa tarehe 4 October.


                                          GEORGE CLOONEY & SANDRA BULLOCK
hapa Sandra na George wakiwa kwenye premiere ya hii movie ya GRAVITY.


Movie hii ya GRAVITY ni movie ya dakika 90 na director wake ni ALFONSO CUARON.

hapa Sandra na George wakiwa wanatembea huku wakila story mbili tatu si unajua tena ma legend wakikutana.

GEORGE CLOONEY ameigiza movie nyingi ikiwemo THREE KINGS, FROM DUSK TILL DAWN na MICHAEL CLAYTON na bibie SANDRA BULLOCK ameshacheza movie kama SPEED mwaka 1994 hizi movie matata mno, na pia amecheza kwenye movie inaitwa CRASH mwaka 2004 na  THE HEAT hii ni ya mwaka huu.

No comments: