Saturday, October 26, 2013

PRODUCER NA ACTOR MKUBWA NIGERIA TCHIDI CHIKERE AMEMTALAKA MKE WAKE

Nadhani wale mnaopenda movie za ki Nigeria mtakua mnamfahamu Tchidi Chikere, ni muigizaji wa siku nyingi pia ameshaproduce movie nyingi sana, basi Tchidi alikua mume wa muigizaji mwenzie wa kike Sophia ambaye walizaa nae watoto 3. Habari zilizopo ni kwamba wawili hao wameachana hivi karibuni, na inasemekana pia Tchidi ameanzisha mahusiano na muigizaji mwenzie tena anayeitwa Nuella na wameanza kuishi pamoja kwani Nuela anaujauzito wa Tchidi, Mtalaka wa Tchidi Sophia nae ameshaanzisha mahusiano na mfanya biashara mmoja wa nchini humo.


                                            TCHIDI CHIKERE


                                           huyu ndie aliyekua mke wa Tchidi anaitwa SOPHIA CHIKERE
 
 
 Na huyu ndie girl friend wa Tchidi wa sasa anaitwa NUELA

No comments: