Friday, April 11, 2014

TEAM WEMA NYIE NI NOMERRR

                                             WEMA SEPETU

Yani unaambiwa ni bora ukutane na AL QAEDA, wanaweza wakakusamehe kuliko kukutana na TEAM WEMA, yani ni moto Bongo nzima hakuna, hata Marekani hakuna, hivi umewahi kusikia wapi STAR anachokozwa halafu hajibu ila ma funs wake wanaubeba ugomvi na kuhakikisha maadui wote wamesalimu amri mpaka MAGAZETI yanabana ngenge. sasa kama hujawahi sikia basi kwa Wema ndo imetokea hata KIM KARDASHIAN na mahela yake na kujulikana kwake kote hana ma funs waliotayari kufa kwa ajili yake,

                                       WEMA NA KAJALA
Kila mtu anajua kale ka ugomvi ka Wema na Kajala, wenyewe walinyamaza kimya hawakutangaza ugomvi ila watu waliwaona tu wako mbalimbali, kilichokuja kuzua utata ni hiki hapa

                       WOLPER, KAJALA NA PENNY
Hizi picha zinamuonyesha rafiki au kama Wema anavyopenda kumuita dada akiwa na maadui wake, Penny na kati ya pembeni ndo adui namba moja wa Wema akifwatiwa na Wolper, sasa bwana, picha hizi kuvuja tu Kajala akapokea zake kutoka kwa team Wema, Kajala anaonekana hakupenda hizi picha  zipigwe wala zitumwe ila naona bibiye pembeni Wolper yuko natabasamu kali, Kajala akawekwa pembeni na TEAM WEMA akaanza kuvaliwa njuga Wolper, kilichomponza hiki hapa
                                          JACKLINE WOLPER NA PENNY

Hii picha Jackie akaitupia, sijui alikua na maana gani, kaama kumrusha roho madam au la, lakini TEAM WEMA wanasema why naw? siku zote ulikua wapi kupiga picha na kula bata na Penny, kwa hyo moja kwa moja ikaonekana Jackie kanunua ugomvi wa Kajala na yeye sasa ndo anamrusha roho Madam kwa picha na ujumbe mbalimbali insta.
Jamani kilichofwata hapo ni balaa la aina yake, Wema hakumjibu mtu wala kumfumbia mtu, TEAM WEMA ikaona why our SWEET MADAM aonewe na kanyamaza kimya na si tupo, basi weee kuna wakina DOUGIEMASTA, MATI, hawa na wengine walihakikisha wanaugeuza mji miguu juu kichwa kichwa chini, yani walichachafya watu jamani, wakaona na magazeti wanaleta kujua na huko nako vuruga kweli kweli ndani ya week tu kila ADUI WA MADAM kasalimu amri, Wolper kaanza kupost nyimbo za dini na maneno ya kulalamika kwenye insta, magazeti yakaanza kumuandika madam kwa vizuri bila kumchafua, yani hakuna anayenyanyua mdomo kuhusu Madam, kweli ACHENI WEMA AITWE WEMA., mi sikujua kama huyu motto anapendwa kiasi hiki,


                        MADAM ORIGINAL WEMA SEPETU KIPENZI CHA WATU



Yani sikujua kama we binti unamashabiki wa kufa na kupona kiasi hiki , yani husumbuki na ugomvi mashabiki wenyewe wanamaliza kila kitu, sasa JE HIVI UNGENYANYUA MDOMO NA KUSEMA TEAM YANGU NISAIDIENI  na hisi ndo wangetoka kabisa barabarani kupigana na maadui kwa hali hiyo tu hukusema kitu wenyewe tu wakaamua kukusimama, mh kweli unaambiwa ukiwa na moyo mweupe Mungu atatuma jeshi likulinde hata watu wakiungana wakukomeshe jeshi likitumwa na Mungu likisimama hakuna atakayekufikia, anyway KAJALA na Madam wote ni watu wenye upendo naimani mtayarekebisha mliyokwazana na mtarudi kua pamoja, najua Kajala hanaga tabu pia basi tu makundi nahisi yalimponza,

LAKINI,  HIVI SASA???  KAJALA NA MADAM WAKIPATANA WOLPER ATAKUA UPANDE GANI? najiuliza kichwani sipati jibu




5 comments:

Unknown said...

Sitaki kuona wema anaumia nitamtetea mpk kieleweke lv uuuuuuu my wema wangu...hanijui wala nn lkn nipo nae bega kwabega kumpigania

Anonymous said...

mdau hapo juu mimi naon humpendi mm nmpenda mpk nahisi naumwa wema ol da way fuck ol haters mxiuuuuuu

Anonymous said...

Wema ndio habari yamujini bwana hata sisi tunaishi ulaya na amerika tuko upande wake tunampendasaana huyu binti wamuachee .hata hao wanaomtukana wanajisumbua buree haisadii kitu huyu ni nyota bwana wamuachee.nawatasubiri saana kumfikia wema wasepetungaa

mama boyy said...

Mimi niliandika mpaka mkono ukashtuka macho yakapiga weusi silali naogopa wema asitukanwe yaani macho yako insta lol wema wee utaniua mama boyy

Anonymous said...

Kama mwanamke kweli why asitulie fanya yake kila kukicha mabwana, hana jipya huyooo.Na wewe mwenye blog ni mpumbavu saana yaani umefungua blog kusifia mabaya dah Mungu akusamehe saana.Mamiss wangapi wafanya yao na maisha yao eeh wema ni mabwana tuuu mbaya zaidi atafuta na aibiwa hao mabwana hana kipya.Mwambie huyo madamu akashonwe huko down below mana ukichungulia na kizazi wakiona.Akishashonwa then akipata bwana atakuwa nae milele