Saturday, April 26, 2014

DIAMOND ANAVYOJIVUNIA KUWA NA WEMA SEPETU





NASIBU Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa anajivunia kuwa na binti mzuri Wema Sepetu ambaye kila kukicha anazidi kupewa vyeo.
Diamond alifunguka hayo juzikati baada ya Wema kutangazwa mshindi wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl lililoandaliwa na Gazeti la Ijumaa.“Wema ni kifaa, nilimkubali na nitaendelea kumkubali,” alisema Daimond juzikati Dar.


MCHUMBA HALALI WA DIAMOND CHIBU DANGOTE.



No comments: