Saturday, April 26, 2014

MH HII INAMLENGA NANI?????


MSANII wa flamu za Kibongo, Tiko Kulungu amewaasa wenzake kuwa waepuke tabia ya kubadili dini kwa kufuata maslahi ya kifedha.


MSANII wa flamu za Kibongo, Tiko Kulungu amewaasa wenzake kuwa waepuke tabia ya kubadili dini kwa kufuata maslahi ya kifedha.


Mh kwa haraka haraka Wolper ndo msanii aliyebadiligi dini, sasa sijui huyo dada alikua anamlenga msanii gani, ila Wolper alishakataaga alisema hakubadili dini kwa ajili ya pesa. MJINI KUNA MAMBO.


No comments: