Thursday, April 24, 2014

DIAMOND PLATNUM NA LULU MICHAEL AKILI SAWA





Hizo picha hapo juu ni Diamond mchumba halali wa muigizaji Wema Sepetu nasema mchumba kwasababu Diamond alishamvisha pete ya uchumba Wema na sijawahi kusikia Diamond kumvisha pete ya uchumba mwanamke yeyote yule hapa duniani zaidi ya Wema, anyway niende kwenye mada, kwa hyo kama mnavyomuona kidume hapo juu yuko na mama yake na kamshikia pochi mama yake kitu ambacho ni nadra kwa vijana wengine kufanya, sasa kwa kumpenda na kumsikiliza huku mama yake kweli kijana ataacha kufanikiwa? HONGERA SANA DIAMOND


Picha za hapo juu ni Lulu akiwa na mama yake na juu kabisa ni nyumba anayojenga Lulu, huyu binti hata miaka 20 hajafika lakini amefanikiwa kujenga Nyumba kitu ambacho wengine ukisikia redioni au wanajenga wakifika hata 40, sijui mapato aliyojengea nyumba yametokana na nini ila najua ni mcheza movie na anallipwa manake najua tu humu sasa hivi watu mtaanza oooh kahongwa, kinacho matter ni kwamba kajenga wengine wamecheza movie wee, wamehongwa magari ya kifahari, lakini wanamiliki pochi na viatu tu, naimani ukaribu wa Lulu na mama yake ndio uliomfanya
Lulu kufika hapo alipo.


NI HAYO TU........ BYE BYEEEEEEE

No comments: