Thursday, April 3, 2014

MTOTO WA KAJALA ETI ANASKENDO YA KUA NA PICHA YA UTUPU.

Yani huko kwenye mtandao wa INSTAGRAM ni kuna makubwa yanaendelea, ni hivi kile kisa cha KAJALA na WEMA kugombana kimefanya watu wamchukie sana Kajala, sasa leo kuna page instagram inaitwa USIPOJIPANGANTAKUPANGA..... page hii inasema kwamba eti motto wa Kajala kwenye picha ndo huyo alivaa nguo ya blue, kwamba alitembea na mwanamziki Dogo janja, ki umri haka kabinti kana miaka kumi na tano, pia page hiyo inasema INA VIDEO YA BINTI HUYU AKIWA UCHI BAFUNI NA PIA INAPICHA YA BINTI HUYU AKIWA UCHI KITANDANI, na leo wameionyesha nusu hiyo picha.


                                     KAJALA NA BINTI YAKE PAULA





   ANAYETUHUMIWA KUTEMBEA NA HAKA KABINTI NI HUYO MWENYE TSHIRT JEKUNDU DOGO JANJA



Mi ni mekopy na kupaste tu hii habari, sijui haya madai kama ni ya kweli au la, ila KAJALA NI DADA MSTAARABU NA MWANAE NAKAJUA KAKIWA KADOGO KALIKUA KACHESHI NAFIKIRI KAJALA ANAARIBIWA NA GROUP ALILONALO HIVI SASA LA KINA WOLPER NA WAKINA PENNY. kaa nao mbali watamfanya mwanao achafuliwe.

No comments: