Friday, April 18, 2014

MH KAJALA MASANJA AHURUMIWE NA MATUSI JAMANI KUMBE ILIKUA HIVI.

 KAJALA AKIWA NA PENNY KWENYE SEND OF YA MAIMATHA

         WEMA, KAJALA NA PENNY ENZI ZA URAFIKI WAO
Mh yani sikuwahi kujua kama Kajala na Penny walikua na ukaribu toka zamani, sasa kuna picha ya Kajala na Penny hapo juu ya miaka karibu mitatu iliyopita na hii picha ya chini ni ya Wema akiwa na K na P. Sasa kumbe jamani ile picha Kajala aliyopiga akiwa na Penny hivi majuzi haina ubaya wowote kumbe walikua mashost toka zamani na Wema akiwepo, mi nilijua baada ya Kajala kugombana na Wema ndo akaenda kuunda ushoga na Penny kwa hiyo hata watu walivyokua wakimpasha nikaona ni sawa manake ni vibaya kisa umegombana na mwenzio kwenda kuunga ushoga na adui wa huyo mwenzio, kumbe sio, sasa kama Kajala na Penny walikua mashoga toka Enzi HIVI HATUONI KAMA TUNA MUONEA KUMSEMA VIBAYA NA MATUSI JUU HUKO KWENYE MITANDAO, HIVI KAMA MLIKUA WATATU KWENYE GROUP WAWILI WAKAGOMBANA WEWE ITABIDI UKAE UPANDE WA MMOJA NA UMNUNIE MWINGINE, HAPANA ITABIDI UONGEE NA WOTE, JAMANI TUSICHUME DHAMBI KWA HILI PICHA ZA ZAMANI ZINAJIELEZA USHOGA WAO HATA WAKIPIGA PICHA LEO WAACHENI TU WAMETOKA MBALI, NA TUNAWAOMBEA WEMA NA KAJALA WAMALIZE TOFAUTI ZAO.


2 comments:

Anonymous said...

MINADHANI HAPO TATIZO SIKUKUHUS PENNY NAKAJALA KUWA WOTE SASA.TATIZO NIKWANINI KAJLA ANATOA SIRI ZAWEMA KWA MADUI ZAKE WAKATI WAMEGOMBANA?MBONA WEMA HATOI SIRI ZAKAJALA.UNAJUA KUWA MDGO WAKE KAJALA NDIO MWENYE ILE PEJIAMEMFUNGULIA WEMA NA ROMUJONS ANAJIITA ROMYJONSNAWEMASEPETUWACHAWI?UNALIJUA HILO AU UNANGEA TU.MWANZO NILIKUONA UNAJUA KUFUATILIA MAMBO NA KUWEKASAWA ILASASA HIVI UNAENDA WRONG SIDE.UNAJUA HUYO LITLE MAMAP ANAMTUKANA WEMA KIASI GANI NA KUNA MATUSI ANAYOYAONGEA MENGINE NIKJALA ANAMTUMA AFANYE HIVYOO.NIMESHUDIA NANINAUHAKIKA KABISA ASILIMIA MIAMOJA.KAJALA NIMBAYA SANA MNAFKI MUUAJI .BORA HATA MCHAWI KULIKO HUYO MSHENZI.NAOMBA UWEKE HII MSG USIFUTE NA USHAHIDI NINAO.SIKUYABIRTDHAY YAHUYO MDGO WAKE ALIKOSEA AKAJIBU KOMENT KWENYE PAGE YA IG YA DADAKE AKIMSHUKURU KWA ZAWADI.NDIO SIRI ZILIFICHUKA HATA WEMA HAKUWA ANAJUA SIKUHIYO NDIOKILA MTU AKASHANGAA AMAKWELI USILOLIJUA NISAWA NAUSIKU WAGIZA .KAJALA ATUKANWESAANA TU ANALAANA .

Anonymous said...

No kajala ni msaliti,why hakuwa in good terms na penny wakati alivyokuwa na wema?kasubiri wamegombana na wema basi ndo kutwa kucha urafiki na penny!mie kanitoka balaa