Sunday, January 26, 2014

MKE MWENZAKE NA WEMA SEPETU AELEZEA KILA KITU KUHUSU KUACHANA KWAKE NA DIAMOND. TAZAMA VIDEO HIYO.






wengi mnamjua Wema sepetu, na mnajua kwamba huyu Penny alikua rafiki wa karibu na Wema muigizaji wa bongo movies, sasa Penny akamchukua mchumba wa Wema ambaye ni mwanamziki Diamond, na hivi sasa Diamond kaamua kurudi kwa Wema, sasa haya ni mahojiano ya Penny akielezea kila kitu kuhusu kuachana kwake na Diamond na mipango yake ya maisha.

No comments: