Friday, January 17, 2014

KUJICHUBUA MWISHO KONGO TANZANIA KILA MTU NATURAL COLOUR

WEMA AKIWA MWEUPE SANA KWA AJILI YA MKOROGO



WEMA AAKIWA NA RANGI YA NGOZI NZURI ILIYORUDI BAADA YA KUACHA MKOROGO



Baada ya kusakamwa sana na vyombo vya habari kwamba anajipaka mkorogo uliosababisha rangi ya ngozi yake kua kama ya mzungu sasa mlimbwete star wa movie Tanzania ameamua kurudi kwenye rangi ya ngozi yake ya awali, hivi sasa Wema anavutia kama alivyokua kipindi anashiriki mashindano ya urembo,

No comments: