Saturday, September 27, 2014

YAWEZEKANA KUKAWA NA BONGE LA PARTY LA MSANII WEMA SEPETU SIKU YA KESHO.... HEBU INGIA NDANI KUJUA ZAIDI





Kesho muigizaji anayependwa kuliko waigizaji wote bongo Wema Sepetu atatimiza miaka kadhaa, marafiki zake tangu asubuhi ya leo wamekua wakipost picha zake na kuelezea kwamba kesho ni birthday ya binti huyo, kwa jinsi post hizo zinavyopostiwa na marafiki zake inaonekana HIYO SIKU YA KESHO KUTAKUA NA SHEREHE YA KUKATA NA SHOKA, NA PIA WENGI WANASUBIRI KUONA KAMA MCHUMBA WA WEMA AMBAYE NI DIAMOND ATAMFANYIA NINI MPENZI WAKE HASA IKIZINGATIWA KWAMBA DIAMOND AMEPANGUA TUHUMA ZA KWAMBA ANAMAHUSIANO NA MENINAH, DIAMOND AMESEMA YEYE NA WEMA BADO NI WAPENZI. haya mi nasubiri mapicha ili niwaletee ....

No comments: