Wednesday, September 17, 2014

THESE ARE THE HOT MAMAS IN BONGO MOVIES INDUSTRY......

Photo: Helw @#Nawatakia cku njema @#Wapendwa


                                                KAJALA MASANJA ...hapo juu huyo ni Kajala, nimemuweka namba moja kwasababu yeye anamtoto mkubwa ambaye wakiwa pamoja ni kama mtu na dada yake lakini hiyo haijamfanya Kajala kujiachia na kua kwenye kundi la mama.com, Kajala anawaka na anakwenda sambamba na wale ambao hawajazaa na wengine kawapita kabisa, hongera dada.


IRENE UWOYA


 IRINE UWOYA...............hapo juu kama mnavyomuona ni Irine, yeye pia ni mama lakini pamoja na kuzaa mpaka sasa bado yuko vile vile kama zamani, kama humjui unaweza kufikiri hajazaa bado.





SHAMSA FORD.... huyu ni mama wa motto mmoja, yeye kwanza licha ya uzuri na kutokujiachia, Shamsa anasmile moja matata sana Bongo movies nzima hakuna, pia anarangi nzuri na hajawahi kuhangaika kujichubia,






NAJUA WAPO WENGINE NTAKUA NIMEWASAHAU LAKINI HAWA WATATU NI MOJA YA WASANII AMBAO NI WAMAMA LAKINI BADO WANASUMBUA KWA UZURI.

No comments: