Friday, September 19, 2014

WEMA SEPETU NA KAJALA MAPEDEJEE WA KIKE

                        KAJALA MASANJA                                      WEMA SEPETU


Wakati  muigizaji Kajala Masanja akifanya kufuru ya pesa ndani ya band ya yamoto band baada ya week nae muigizaji Wema Sepetu alifanya kufuru ya pesa ndani ya skylight band, inasemekana wadada wote hao walimwaga zaidi  tano kwa kuwatunza wanamziki wa band hizo,


JAMANI NAWAOMBA WASCHANA WENZANGU ZITUNZENI HIZO HELA WENGINE HATUNA TUKIONA MNAZIMWAGA VILE MPAKA DAMU INASISIMKA, YANI UKIONA MISIMBAZI IMETAPAKAA CHINI KAMA CARPET LAZIMA USISIMKE NA KUANZA KUWAZA SHIDA ZINAZOKUKABILI ZINAZOHITAJI UTATUZI WA FEDHA, ila mwisho wa siku kila mtu anauhuru wa kufanya analotaka na hela yake.

No comments: