Monday, September 22, 2014

LUCY KOMBA ALALAMIKIWA NA MASHABIKI



14


Muigizaji Lucy Komba ambaye amefunga ndoa takatifu na mumewe mwenye asili ya Canada amelalamikiwa na mashabiki kwa kitendo cha kunung'unika mno toka ndoa hiyo ifungwe, kama inavyojulikana ukiwa star kusemwa na kukosolewa lazima kuwepo, lakini kwa Lucy imekuwa tabu kwani kila mitandao inapomkosoa yeye amekua akocopy na kurusha kwenye page yake ya insta, isipokua hivyo amekua akiwapiga vijembe kila kukicha wale waliokua wanachukia yeye kufunga ndoa, mpaka imefika hatua ma funs wake wamekua wakimsihi aache kulalamika yeye anachotakiwa ni kumshukuru Mungu kwa kumpa mume mwema na hayo mengine yalishapita agange yajayo.

No comments: