Thursday, September 25, 2014

MENINA APASUA YA MOYONI KUHUSU KUTEMBEA NA DIAMOND........




                                                         MENINAH

Yaani sijui hata nianzie wapi kuzungumzia hili la kutaka kufunga ndoa na Diamond, naomba niseme ukweli kwamba nashangaa, kwanza sijui chochote, nimekuwa nikiandikwa mara kwa mara lakini taarifa hizo wala hazina ukweli wowote.
“Mimi na Diamond ni tofauti kabisa, sijawahi kuwa na ukaribu naye. Kwanza naumia sana na kutokwa na machozi kuendelea kusikia taarifa hizi kuwa naolewa naye kitu ambacho hakipo kabisa, hata yeye mwenyewe akisikia hivi anaweza kumtafuta mtu ambaye anasemwa kuwa anatoka naye jambo ambalo si la kweli.”
“Wema namheshimu kama dada yangu, mtu ninayemjua kwenye tasnia ya filamu Bongo, kwanza wote tunafanya sanaa japokuwa kwa upande wake anafanya filamu na mimi muziki. Hizo taarifa juu ya kuniwinda sijui na sijazisikia. Kiukweli zimenishtua sana






KWA HIYO NAONA KUTOKANA NA MAELEZO HAYO YA MENINAH NI WAZI HAKUNA MAHUSIANO KATI YAKE NA DIAMOND, NA KAMA DIAMOND NA WEMA WAMEACHANA BASI NI KWA MATATIZO YAO TU YA KAWAIDA KAMA ILIVYO KWENYE MAHUSIANO YA WATU WENGINE, KUGOMBANA KUPO, LAKINI PIA KUPATANA KUPO.

No comments: